baby zu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,816
- 4,770
Alhamdulillah sikusoma kwa mkopo.Ungesoma.mpaka chuo kikuu halafu ukakataa mkopo kutoka bodi ya Mikopo Tanzania tuone utasomaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alhamdulillah sikusoma kwa mkopo.Ungesoma.mpaka chuo kikuu halafu ukakataa mkopo kutoka bodi ya Mikopo Tanzania tuone utasomaje
Duh!!!Hiyo riba Ni kubwa Sana!huo Ni unyonyaji,Ina maana elf10 riba akupe elfu7?sio kweli!utawapata wa kuwanyonya Ila Kuna mteja atakupiga tukio Siku yako usilaumu ujue ndio itakuwa unalipia haki za mama ntilie ulizokula
Ila wapo wanaosoma kwa mikopo na ni waisilamu wenzio.Alhamdulillah sikusoma kwa mkopo.
Naombeni mbinu nataka kuanza na laki mojaHuwezi kuzimwa yote,ni nadra Sana ukazimwa mtaji plus riba,unaweza recover 450 plus
Mkuu naomba unifundishe na mimi nina laki ya kuanziaDuh!!!
yamekuwa hayo tena? mbona husemi jinsi wanavyonufaika na hela zangu wanazokopa?
mtu akope laki 1, akaununue samaki auze raundi 2 kwa wiki anapata faida elfu 50 nzima mpaka elfu 70.
akinipa 20 anapata hasara sana?
na mbona nikiwajibu sina hela wanalalamika sana na wanasema nawarudisha nyuma😅😅😅😂😂😂
DUA YAKO MKUU HAITOFANYA KAZI.
Basi sawa!Ni biashara nzuri Sana hongera kwa kusaidia wenye uhitaji wewe Ni mkombozi wa watu....Duh!!!
yamekuwa hayo tena? mbona husemi jinsi wanavyonufaika na hela zangu wanazokopa?
mtu akope laki 1, akaununue samaki auze raundi 2 kwa wiki anapata faida elfu 50 nzima mpaka elfu 70.
akinipa 20 anapata hasara sana?
na mbona nikiwajibu sina hela wanalalamika sana na wanasema nawarudisha nyuma😅😅😅😂😂😂
DUA YAKO MKUU HAITOFANYA KAZI.
Duh huyu jamaa noma 70% interest.Hiyo riba Ni kubwa Sana!huo Ni unyonyaji,Ina maana elf10 riba akupe elfu7?sio kweli!utawapata wa kuwanyonya Ila Kuna mteja atakupiga tukio Siku yako usilaumu ujue ndio itakuwa unalipia haki za mama ntilie ulizokula
Hataki Ushauri mwenzio.anataka kusikia wa kusifiwa tuKwa wadau wanao kopesha, huwa wanafanya 3,000 au 4,000 kwa kila 10,000 , Ila hii ni kwa mwezi mmoja, na sio kwa siku kama ilivyo wewe.
Ila kwa kuwa umeanza na 500 kwa siku, ni vyema ukabakia hapo, kwenye hicho kiwango, sio uongeze.
Yaani hapo ulichofanya ni riba ya asimilia 100, kwa siku 20 za kazi katika mwezi, kwa mtu aliyechukua 10,000.
For long run, hii kibiashara haiko sawa.
Yaani Ni kubwa mno jamani, anyways naona mwenyewe kawa mkali,Ila haya Mambo haya atazilipa tu indirect Siku moja....Akopeshe kwa riba rafiki lakini hiyo Ni kibokoDuh huyu jamaa noma 70% interest.
Riba ya 30% inatoshaYaani Ni kubwa mno jamani, anyways naona mwenyewe kawa mkali,Ila haya Mambo haya atazilipa tu indirect Siku moja....Akopeshe kwa riba rafiki lakini hiyo Ni kiboko
Mi nataka niweke 20% tu niwe kama nawasaidia tukue pamojaRiba ya 30% inatosha
Vipi mzeya unawateja tuingie ubia....nina kama billion moja inaelea elea 🤣🤣🤣🤣🤣Mi nataka niweke 20% tu niwe kama nawasaidia tukue pamoja
Kabisaa.....na ndio wengi wanafanya hiviRiba ya 30% inatosha
Huu ndio uungwana.Mi nataka niweke 20% tu niwe kama nawasaidia tukue pamoja
Huu ndio uungwana.Mi nataka niweke 20% tu niwe kama nawasaidia tukue pamoja
Hahah hiyo fungua micro tuVipi mzeya unawateja tuingie ubia....nina kama billion moja inaelea elea 🤣🤣🤣🤣🤣
Kama ulikubali lipa tu mkuuWakuu mimi kuna mtu amenikopesha 1m namlipa 70k kila mwisho wa mwezi, Hiyo riba ni kubwa au ndogo? Isije ikawa napigwa[emoji85][emoji3]