Nimeanza kumpenda msichana mwingine

Nimeanza kumpenda msichana mwingine

Kuna binti nimeanza kumpenda najitahidi nisimpende tatizo hisia zishalalanae mbele!,kwa yule wa kwanza tulieachana alinichezesha muvi la kihindi huyu Sasa sijui itakuwaje!. Sina mengi ila tuombeane tu mambo yaende safi maana mpk hivi Sasa naona nina degree ya kuumizwa moyo wangu nao unazidi kupenda Kama jana na zaidi ya leo!.[emoji26]

Sifa zake ni
Kapole ila kazururaji
Hakanywi bia ila kanaonja
Mwembamba maji ya kunde na mwisho kanapenda kuvaa Madera.

Tuombeane tu tuvuke salama..[emoji26]
Sifa nyingine sawa ila hapo kwenye madela mmh!

[emoji848] Hebu tafuta kanisa lililo karibu na wewe.
 
Mkuu unanyota tatu za haya mavitu na yaonyesha hata moyo wako ushaota sugu..
Hamna ata. Mm pia kuna mda nina umia kama wengne, kuna mda nakosea kama wengne. Sema kuna mtu mmoja huyo ndio alinifanya nikajua hiv vitu vilivyo na hakuna kinachoshindikana juu ya mapenzi yenye upendo
 
😂🤣🤣weee komaa unataka nipigwe na baby wako anayependa kuvaa madera🤣
Ukinikataa tu unajua sinaga subira nitaenda kukushughulikia kinyumbani sasa! So kubali mapema..😊
 
Hamna ata. Mm pia kuna mda nina umia kama wengne, kuna mda nakosea kama wengne. Sema kuna mtu mmoja huyo ndio alinifanya nikajua hiv vitu vilivyo na hakuna kinachoshindikana juu ya mapenzi yenye upendo
He he! Mi Sina usemi nakomaa na Madera wangu..😅
 
MAJI ya kunde ndio nini sema ni mweusi acha wenge[emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mweusi ni mkaa mama! Na wenge siachi..😅
usijali,binafsi ninakuombea 😂
Nitashukuru lily... Lakini nawewe ujiombee Sasa usijisahau si unaelewa tena..😉
 
Back
Top Bottom