scot mcomic
JF-Expert Member
- Apr 17, 2021
- 234
- 383
Pambania kombe mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanaaa, ye apambane tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jambazi mzoefu!Mtoto wa kiume unalilia penzi wakati wachuchu wapo wengi...
Mchuchu akizingua unamshusha cheo, unatafuta mchuchu mwingine unampandisha cheo toka just a friend to a girlfriend...
[emoji23][emoji23][emoji23] yani ni mweusi lakini sio kama mkaaMAJI ya kunde ndio nini sema ni mweusi acha wenge[emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwasasa unaongozwa na hisia... Ni hatari kwa mahusianoAkili kwake Sina Sasa nitaituliza vipi..[emoji28]
Aisee sio kwa hiyo avatar [emoji23]
Hujawahi kuwa upande wangu..[emoji28]
Hujawahi kuwa upande wangu..[emoji28]
MAJI ya kunde we unaijua rangi yake? [emoji849][emoji23][emoji23][emoji23] yani ni mweusi lakini sio kama mkaa
Ouyaaaa kumbe una degree😅😅😅😂😂😂😂 kaombe kazi kaka achana na mapenziiiiiKuna binti nimeanza kumpenda najitahidi nisimpende tatizo hisia zishalalanae mbele!,kwa yule wa kwanza tulieachana alinichezesha muvi la kihindi huyu Sasa sijui itakuwaje!. Sina mengi ila tuombeane tu mambo yaende safi maana mpk hivi Sasa naona nina degree ya kuumizwa moyo wangu nao unazidi kupenda Kama jana na zaidi ya leo!.😥
Sifa zake ni
Kapole ila kazururaji
Hakanywi bia ila kanaonja
Mwembamba maji ya kunde na mwisho kanapenda kuvaa Madera.
Tuombeane tu tuvuke salama..😥
Ukichemsha kunde jikoni, yale maji yakianza kubadilika rangi. Hiyo rangi ndo inaitwa maji ya kunde kwa lugha yetu hii ya kiswahiliMAJI ya kunde we unaijua rangi yake? [emoji849]
Hehehe maana dera bila chura unaweza kudhani unapishana na mtungi wa gas ya oryxNOTE:Kama kwake dera ni kanzu,achana nae huyo utamsumbua mbele ya safari..
Jamaa kuna Mambo mengi ya kuombeaKuna binti nimeanza kumpenda najitahidi nisimpende tatizo hisia zishalalanae mbele!,kwa yule wa kwanza tulieachana alinichezesha muvi la kihindi huyu Sasa sijui itakuwaje!. Sina mengi ila tuombeane tu mambo yaende safi maana mpk hivi Sasa naona nina degree ya kuumizwa moyo wangu nao unazidi kupenda Kama jana na zaidi ya leo!.[emoji26]
Sifa zake ni
Kapole ila kazururaji
Hakanywi bia ila kanaonja
Mwembamba maji ya kunde na mwisho kanapenda kuvaa Madera.
Tuombeane tu tuvuke salama..[emoji26]