Nimeanza Mwaka kwa Mazoezi

Nimeanza Mwaka kwa Mazoezi

Jitahidi tu mwenza. Tupungue kidogi halafu tuanze kula ubwabwa kwa raha zetu. Mtu atakaeniwekea ubwabwa na samaki wa nazi naweza msomea albadir kwa kunirudisha nyuma
Aah ngoja nile ubwabwa kidogo nitakukuta mbele
 
Jamani nilifanya sit ups na kuruka kamba siku tatu zilizopita naumwa na tumbo hata nikicheka [emoji19]
 
Back
Top Bottom