Nimeanza Mwaka kwa Mazoezi

Nimeanza Mwaka kwa Mazoezi

Aisee hata mimi nimedownload Boot campy Physical exercises za Billy blanks naenda nae jino kwa jino mpaka raha.Nimejikuta hadi performance kitandani imeongezeka
 
Aisee hata mimi nimedownload Boot campy Physical exercises za Billy blanks naenda nae jino kwa jino mpaka raha.Nimejikuta hadi performance kitandani imeongezeka
Ha ha ha ukitaka m-bongo afanye kitu mwambie kinaongeza nguvu za kiume!
 
Mzigua usiache kula kabisa utajiumiza, afadhali kula something light ama matunda usiku badala ya kwenda kavukavu. Uki skip meals unasikia njaa halafu unapokuja kula unajikuta unakula sana ili kufidia..
Trick nyingine nzuri ni kusogeza muda wa dinner, uwe mapema kidogo badala ya too late.
kabisaaa!
nashukuru kwa kumueleza hilo maana hiyo diet yake ilinishtua kidogo
 
Mi nilishangaa kuna mzungu hapa jirani mzee kila siku ana ratiba ya kukimbia mbio mimi bado kijana sioni umuhimu wa mazoezi
Wewe subiri mpaka daktari akwambie. I hope it wont be too late.
 
Unatumia app gani!?

Hii hapa Mkuu. Leo asbhnimepiga hizo

upload_2018-2-1_13-56-10.png
 
Inaitwaje, maanake mimi huwa naangali muda ninaokimbia tu si umbali.
Inaitwa endomondo. pia kuna nyingine inaitwa My fitnesspal hii my fitnesspal itakusaidia sana ku monitor chakula kwa siku
 
Back
Top Bottom