Nimeanza mwaka nikiwa single

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] For the mean time atumie matango sio
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] For the mean time atumie matango sio
Siwezi abadani sijaona mtu akifa kisa upwiru
 
1.Shinda kazini, Chelewa kurudi nyumbani
2.Jichanganye na jamii, kazini
3.Hudhuria ibada, ama vikundi vya dini ili uwe busy busy
 
Nina dawa ya kuondoa hilo tatizo la upweke ndani ya muda mfupi. Karibu upate huduma kwa masharti nafuu.
 
sasa nijioe kisa mpweke jamani, mbona mapema sana kunyanyapaliwa
Sasa kama hutaki kujioa sii bora uwatunuku basi vidume mbusus hiyo wakutoe upweke. yaani kwanza zile raha za mitongozo tuu mwenye utaleta mresho hapa kuwa upweke hamna tena. ukiongeza na mgegedo wenye ndio kabisaaa
 
Duh! Pole sana. Mi mwenyewe yamenikuta nina kama mwezi na wiki kadhaa niko singo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…