Nimeanzisha utaratibu wa kufanya kazi za nyumbani: Kufua, kuosha, vyombo, kupika etc

Nimeanzisha utaratibu wa kufanya kazi za nyumbani: Kufua, kuosha, vyombo, kupika etc

Mabinti wa kazi mnafanyiaga nini mbona hawadumu mjumbani kwenu????

Maana naona kutokudumu mabint imekuwa kilio cha wengi.
 
Baada ya kumchunguza mke wangu Kwa muda mrefu nimegundua kazi za nyumbani yaani chores zinamchosha na kupelea kuwa na hasira zisizo na msingi mara Kwa mara.

Hivyo nimeanza utaratibu wa kufanya kazi za ndani hasa juma mosi na jumapili ambapo siendi kazini.

Leo niliamka saa kumi na moja alfajiri, maza house kuamka kakuta kamba zimejaa nguo zangu, zake na za watoto.

Mtori wa watoto upo kwenye chupa na chai yetu pia ipo tayari.

Kwa kweli nimeona jinsi mama watoto alivyoamka Kwa bashasha!

Rai yangu Kwa wanaume tufanye kazi za nyumbani kama sehemu ya majukumu hasahasa kipindi hiki ambacho binti wa kazi hawakai.

Hii pia itasaidia kuwavuta watoto wajue wewe kama baba umewahangaikia.
Naona umeamua kujisombea LIKES za mashangazi kimasihara...
 
Mabinti wa kazi mnafanyiaga nini mbona hawadumu mjumbani kwenu????

Maana naona kutokudumu mabint imekuwa kilio cha wengi.
Wakipendeza wamama wanawafukuza wakihofiwa kupandishwa cheo kutoka Mke mpaka kuwa Mke Mkubwa.
 
Msifanye kazi za ndani zinachosha sana nunueni vifaa vya kurahisisha kazi !! Mfano mashine ya kufulia , aache kutumia mkaa na kuni kwenye kupika tumieni gesi na umeme , Rice cooker , multi cooker , Pressure cooker , yaan hadi za kukaanga na kuchoma vitu !! sijaona tu mashine ya kuosha vyombo ila nyingine zote zipo tena kwa bei nzuri !! mpaka vikaango vya chapati ya hadi unga wa ngano siku hizi hatukandi ni mashine wewe kazi yako ni kuchanganya viamba upishi basi

Kazi yenu iwe kupanga vitu tu ndani na msisahau kufanya mazoezi ya mwili!!
Dish washing machine mbona zipo kibao?
 
Baada ya kumchunguza mke wangu Kwa muda mrefu nimegundua kazi za nyumbani yaani chores zinamchosha na kupelea kuwa na hasira zisizo na msingi mara Kwa mara.

Hivyo nimeanza utaratibu wa kufanya kazi za ndani hasa juma mosi na jumapili ambapo siendi kazini.

Leo niliamka saa kumi na moja alfajiri, maza house kuamka kakuta kamba zimejaa nguo zangu, zake na za watoto.

Mtori wa watoto upo kwenye chupa na chai yetu pia ipo tayari.

Kwa kweli nimeona jinsi mama watoto alivyoamka Kwa bashasha!

Rai yangu Kwa wanaume tufanye kazi za nyumbani kama sehemu ya majukumu hasahasa kipindi hiki ambacho binti wa kazi hawakai.

Hii pia itasaidia kuwavuta watoto wajue wewe kama baba umewahangaikia.
Kupika naweza saidia ila hizo zingine aisee hapana. Yaani nazionga ngumu mno hasa kuosha vyombo na kudeki nyumba.
 
asee inafanyaje kazi hiyo mkuu nimchukulie wife !!
Mkuu hebu Google "Dish Washer Machine"...

Utachagua mwenyewe. Mpende mkeo kwa kumpunguzia majukumu. Ya kitandani yatafanyika kwa ufanisi uliotukuka...
 
Siku akikwambia ukune nazi ndo utaelewa kwanini wazee wa zamani walikuwa hawajipi majukumu ya kimama. JOKE!

Msaidie maramoja moja tu, ila usifanye ndio kazi zako za kila weekend ukiwa home.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Screenshot_20231202_230610_com.twitter.android_edit_2155818044291870.jpg
 
Ongera mkuu! Ila akili kumkichwa hawa wanawake unaweza kufanya kama kumsaidia lkn itafika muda ataona huo ndio wajibu wako so sio kila siku ndio umsaidie
 
Back
Top Bottom