Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 1,915
- 5,750
Kulingana na uhalisia wa mambo, sikuamini kama kuna hata chembe ya haki na nguvu ya kura yangu. Ila kama na wao wameogopa kiasi hiki, basi na mimi nitapiga kura, wacha iibiwe, wacha iharibiwe.
Sehemu kubwa ya Morogoro mjini umeme umezimwa tangu asubuhi. Labda kama wamerudisha dikika hizi, wanalengo gani, wanajua wenyewe.
Mitandao ya kijamii ndio kama mnavoiona.
Kama ulinotice, kuna muda simu za kawaida na msg zilikua hazitoki kabisa mchana.
ITV walikata matangazo ya Aljazeera
Star TV Wamekata matangazo ya BBC.
Inaweza kura yangu isiwe na msingi sana, lakini kama kuna watu wanaweweseka kiasi hiki, na wao ndo wanaojitamba, basi kipo wanachokihofia.
Nitapiga kura na nitaiachia nature iamue matumizi ya kura yangu. Ikienda kwa niliempigia sawa, ikiibiwa sawa, ikiharibiwa sawa.
Nafahamu kuna watu hawakupanga kupiga kura kulingana na hali iliyozoeleka. Nashauri tukapige kura, hata wasipoiruhusu kura yako iamue, wataelewa uhalisia uliopo mtaani, pengine wanaweza utumia uhalisia huo kwa namna chanya.
UPDATE
Pichani (Find the attachment) ni uthibitisho wa nilichokiamua.
Sio kwamba sielewi uwepo wa hujuma, sio kwamba sielewi Commission ni mtetezi wa maslahi ya chama, sio kwamba sioni yanayojiri kwenye vituo mbali mbali ila nimepiga.
Kituo nilichopigia kura kuna mawakala wawili tuu, wakati kuna ushiriki wa wagombea kutoka vyama vinne. Silaumu mtu kuhusu mawakala, sijui wamekwama wapi, hata waliopo sijui ni wa chama kipi na kipi. Ila pamoja na viashiria vyote, bado kura nimepiga.
Nimesafiri mpaka Dodoma kata ya chamwino, Area A ili nitimize hili.
View attachment 1614527
Sehemu kubwa ya Morogoro mjini umeme umezimwa tangu asubuhi. Labda kama wamerudisha dikika hizi, wanalengo gani, wanajua wenyewe.
Mitandao ya kijamii ndio kama mnavoiona.
Kama ulinotice, kuna muda simu za kawaida na msg zilikua hazitoki kabisa mchana.
ITV walikata matangazo ya Aljazeera
Star TV Wamekata matangazo ya BBC.
Inaweza kura yangu isiwe na msingi sana, lakini kama kuna watu wanaweweseka kiasi hiki, na wao ndo wanaojitamba, basi kipo wanachokihofia.
Nitapiga kura na nitaiachia nature iamue matumizi ya kura yangu. Ikienda kwa niliempigia sawa, ikiibiwa sawa, ikiharibiwa sawa.
Nafahamu kuna watu hawakupanga kupiga kura kulingana na hali iliyozoeleka. Nashauri tukapige kura, hata wasipoiruhusu kura yako iamue, wataelewa uhalisia uliopo mtaani, pengine wanaweza utumia uhalisia huo kwa namna chanya.
UPDATE
Pichani (Find the attachment) ni uthibitisho wa nilichokiamua.
Sio kwamba sielewi uwepo wa hujuma, sio kwamba sielewi Commission ni mtetezi wa maslahi ya chama, sio kwamba sioni yanayojiri kwenye vituo mbali mbali ila nimepiga.
Kituo nilichopigia kura kuna mawakala wawili tuu, wakati kuna ushiriki wa wagombea kutoka vyama vinne. Silaumu mtu kuhusu mawakala, sijui wamekwama wapi, hata waliopo sijui ni wa chama kipi na kipi. Ila pamoja na viashiria vyote, bado kura nimepiga.
Nimesafiri mpaka Dodoma kata ya chamwino, Area A ili nitimize hili.
View attachment 1614527