Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
- Thread starter
- #61
Mungu hana msaada wowote, Sijui ni Mungu wa kitapeli!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu hana msaada wowote, Sijui ni Mungu wa kitapeli!!!
Umuamini. Usimuamini. Safari ipo pale pale.. Sikulaumu wala nini amini kwa kadri unavyoona nafsi yako itafaa haupo peke yako..
Sio kila mtu alipenda kuzaliwa Mkuu. Kwahiyo hiyo oksijeni sio ishu kwanguKabla haujamalizia hiyo 1% Lipia kwanza bei ya Oksijeni unayovuta, Bei mpya elekezi ni 5USD/Pafu moja.
Sio kila mtu anapenda kuwa hai sawa.Ukishajua anayekupa maisha mpaka unaandika hapa, usingethubutu kuwaza haya,Angalia msongo wa Mawazo usije kukuletea laana, tafakari!!
Shauri lakoMungu hana msaada wowote, Sijui ni Mungu wa kitapeli!!!
Wahi hospitali ya vichaa mirembe
Hiyo moja umeipata vipi?Habari za jumapili members wa jamiiforums.
Asilimia ya kumwamini Mungu imebaki moja tu.
Swala la kumuamini Mungu au kutokumuamini ni lako wewe binadamu na halimuhusu Mungu,,,,yani hafaidiki kitu kwa kwa imani yako kwake au kutokumuamini.
Ungetoa na sababu za kutomwamini Mungu ili uweze kuapata ushauri wa kiroho.Habari za jumapili members wa jamiiforums.
Asilimia ya kumwamini Mungu imebaki moja tu.
Kwenye kuchanganyikiwa hakuna heri. Kwa kuwa umeamua kumsagia kunguni ungeandika hivi:- "Kila la Shari kwenye safari yako...................". Mwisho wa kunukuu.Ume kosa tu uvumilivu na kujihesabia haki; Kila la heri kwenye safari yako ya kuchanganyikiwa na mwishowe kifo kisicho na matumaini!
Nakuombea kwa Mungu akuhurumie na kukurehemu kwa ujeuri huu uliounyesha kwake.Hakuna Mungu wa kuaminiwa.
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
Huyo Mungu aliumbaje binadamu wenye ujeuri?Nakuombea kwa Mungu akuhurumie na kukurehemu kwa ujeuri huu uliounyesha kwake.
Mara nyingi watu wanaodai hawamwamini Mungu ni wale ambao wapo maisha ya kati,,,uhakika wa kula, kulala na matibabu,,,,na wengine ni wale waliokata tamaa baada yakuhangaika sana bila mafanikio.Ungetoa na sababu za kutomwamini Mungu ili uweze kuapata ushauri wa kiroho.
The fact that an almighty God and all powerful God needs humans to speak for him and defend him, It's a prove that he doesn't exist.Mara nyingi watu wanaodai hawamwamini Mungu ni wale ambao wapo maisha ya kati,,,uhakika wa kula, kulala na matibabu,,,,na wengine ni wale waliokata tamaa baada yakuhangaika sana bila mafanikio.
Kwenye kuchanganyikiwa hakuna heri. Kwa kuwa umeamua kumsagia kunguni ungeandika hivi:- "Kila la Shari kwenye safari yako...................". Mwisho wa kunukuu.
Uwepo wa jinsia mbili wanawake na wanaumeHiyo moja umeipata vipi?