kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Wakuu, kufulia kusikie tu kwa jirani aisee. Hapa nilipo nimefulia kiasi kwamba nimebaki na elfu 4 tu iko kwenye m-pesa. Sasa nataka kwenda kwa wakala kuitoa lakini naona aibu wakuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi kati nimeamka asubui taa ya kiwese inawaka nikaamua kuacha gari nikapanda bajaji nimepiga mishe siku nzima Holla. Nikazama kwa wakala nikatoa buku 3 kiroho Safi cha ajabu mdada wakala akaikunja vizuri akanipa kwa kificho.Wakuu,kufulia kusikie tu kwa jirani aise.
Hapa nilipo nimefulia kiasi kwamba nimebaki na elfu 4 tu iko kwenye m pesa.sasa nataka kwenda kwa wakala kuitoa lakini naona aibu wakuu.
Mpe elfu 8 atoe elfu kumiUlikua unataka uongezewe ngapi ili uwe comfortable kuitoa?
Mimi nakutaka wewe tuu.Ulikua unataka uongezewe ngapi ili uwe comfortable kuitoa?
Afsita mkuu 😂Ulikua unataka uongezewe ngapi ili uwe comfortable kuitoa?
Muamin yesu utanishukuruWakuu,kufulia kusikie tu kwa jirani aise.
Hapa nilipo nimefulia kiasi kwamba nimebaki na elfu 4 tu iko kwenye m pesa.sasa nataka kwenda kwa wakala kuitoa lakini naona aibu wakuu.