Nimebaki na elfu 4 tu kwenye m-pesa naona aibu kwenda kwa wakala kuitoa

Nimebaki na elfu 4 tu kwenye m-pesa naona aibu kwenda kwa wakala kuitoa

Wakuu, kufulia kusikie tu kwa jirani aisee. Hapa nilipo nimefulia kiasi kwamba nimebaki na elfu 4 tu iko kwenye m-pesa. Sasa nataka kwenda kwa wakala kuitoa lakini naona aibu wakuu.
Weka 2500 betpawa halafu mpe Madrid mazima,marumo gallants mpe goli moja na Al nassr gg
 

Attachments

  • Screenshot_20230418-194854.png
    Screenshot_20230418-194854.png
    14 KB · Views: 6
  • Screenshot_20230418-194959.png
    Screenshot_20230418-194959.png
    24 KB · Views: 7
Back
Top Bottom