doomedcity
Member
- Apr 8, 2023
- 65
- 144
Mkuu naweza pata namba yko , hemu tupeane ushirikiano tumpige muhindi sku mojaWeka 2500 betpawa halafu mpe Madrid mazima,marumo gallants mpe goli moja na Al nassr gg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naweza pata namba yko , hemu tupeane ushirikiano tumpige muhindi sku mojaWeka 2500 betpawa halafu mpe Madrid mazima,marumo gallants mpe goli moja na Al nassr gg
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakuu, kufulia kusikie tu kwa jirani aisee. Hapa nilipo nimefulia kiasi kwamba nimebaki na elfu 4 tu iko kwenye m-pesa. Sasa nataka kwenda kwa wakala kuitoa lakini naona aibu wakuu.
Pesa yako mwenyewe, unaona aibu kuitoa kwa wakala?? Wewe una matatizo ya AkiliWakuu, kufulia kusikie tu kwa jirani aisee. Hapa nilipo nimefulia kiasi kwamba nimebaki na elfu 4 tu iko kwenye m-pesa. Sasa nataka kwenda kwa wakala kuitoa lakini naona aibu wakuu.
Tuwe tunapeana tips mkuuMimi apa nna treni la wiki linaendelea kuchanja mbuga
Poa poa mkuuTuwe tunapeana tips mkuu
Njoo pm bas tupeane contactsPoa poa mkuu
Wabongo wengi sana wanasumbuliwa na Ugonjwa wa Kujishtukia.Juzi kati nimeamka asubui taa ya kiwese inawaka nikaamua kuacha gari nikapanda bajaji nimepiga mishe siku nzima Holla. Nikazama kwa wakala nikatoa buku 3 kiroho Safi cha ajabu mdada wakala akaikunja vizuri akanipa kwa kificho.
Acha hayo mawazo.Mkuu naweza pata namba yko , hemu tupeane ushirikiano tumpige muhindi sku moja
Wabongo wengi sana wanasumbuliwa na Ugonjwa wa Kujishtukia.
Njoo pmMkuu naweza pata namba yko , hemu tupeane ushirikiano tumpige muhindi sku moja
I wanted to, ila kwa jibu lake nimeona hayupo serious.Una huruma sana i can feel kwa mbali kama unataka kumsaidia mwamba.
Niongezee kama elf 8 hivi nitoe 10kUlikua unataka uongezewe ngapi ili uwe comfortable kuitoa?
Fresh tu, si hela yako bana. Mtu anawaonea aibu watu ambao wala hawamsaidii kwa lolote. Kujishtukia ni ugonjwa mkubwa sana wa akili.Mi nishwahi kuingia kwenye hivi vimin bank nikatoa buku nikasepa
Sasa songesha si inaweza ikawa hata 20k mbona wakala hawez jua kama umesongesha ama lah!!Endelea kuona aibu ukufe njaa...watu tunaenda kwa wakala kutoa songesha
aisee nimecheka sana 😂😂😂😂😂🙌Atakua sogesha,mpawa,nivushe,kote anadaiwa
Una roho ya kusaidia mi nisaidie japo buku tano tuI wanted to, ila kwa jibu lake nimeona hayupo serious.