Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Aachane na maswala ya aibu,akaze kama mtoto wa kiumeDoh sio mda tu nme toa 1400tzsh tena kwa lipa hela yangu amna wa kuni zuia kuitoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aachane na maswala ya aibu,akaze kama mtoto wa kiumeDoh sio mda tu nme toa 1400tzsh tena kwa lipa hela yangu amna wa kuni zuia kuitoa
Wakuu, kufulia kusikie tu kwa jirani aisee. Hapa nilipo nimefulia kiasi kwamba nimebaki na elfu 4 tu iko kwenye m-pesa. Sasa nataka kwenda kwa wakala kuitoa lakini naona aibu wakuu.
Nakazia...Hii ni moja ya sababu kwanini watu hufilisika
mtu hata kama hana kitu anataka kuionyesha jamii anacho kwa hiyo matokeo kutumia kuliko uwezo wake
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Walau iwe 20k bossUlikua unataka uongezewe ngapi ili uwe comfortable kuitoa?
Una huruma sana i can feel kwa mbali kama unataka kumsaidia mwamba.Ulikua unataka uongezewe ngapi ili uwe comfortable kuitoa?
Tuma namba Kuna 10,000(elfu kumi).Mwenye hapa naenda songesha buku jero nadaka daladala naenda home.
[emoji16][emoji16][emoji16] si ndio hapoUnamuonea aibu wakala, kwani anakulisha?
Atakua sogesha,mpawa,nivushe,kote anadaiwaEndelea kuona aibu ukufe njaa...watu tunaenda kwa wakala kutoa songesha
Nami anitumie niongeze.Nishapitia haya maisha man nitumie number yako nikuongezee
pMTuma namba Kuna 10,000(elfu kumi).