InvisibleTarget
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 1,138
- 2,176
....tafuta wakala wa kiume.!Wakuu, kufulia kusikie tu kwa jirani aisee. Hapa nilipo nimefulia kiasi kwamba nimebaki na elfu 4 tu iko kwenye m-pesa. Sasa nataka kwenda kwa wakala kuitoa lakini naona aibu wakuu.
Weka nambaNiongezee kama elf 8 hivi nitoe 10k
Bahati ya mwenzio........Una roho ya kusaidia mi nisaidie japo buku tano tu
OOhhh mkuu hapa hapa hadharan kabisa??nope namna nyingine basiWeka namba
Au kama vip nikuwekee namba ya wakala utoe directly mkuuOOhhh mkuu hapa hapa hadharan kabisa??nope namna nyingine basi
Dahn poa bana mkuuBahati ya mwenzio........
Mkuu buku 2 basi nikanywe chaiWeka namba
Hongera kwa kuwa na moyo huoI wanted to, ila kwa jibu lake nimeona hayupo serious.
Ujahisi njaa ww bado.Wakuu, kufulia kusikie tu kwa jirani aisee. Hapa nilipo nimefulia kiasi kwamba nimebaki na elfu 4 tu iko kwenye m-pesa. Sasa nataka kwenda kwa wakala kuitoa lakini naona aibu wakuu.
Mkuu,fanya kunipa kamkono ka Iddy basi, maana hali tete hapa.Weka namba