Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
kabla ya kumchukia zitto kabwe wewe na wenzio mnao muona magufuli kama Mungu ungesema kwanza alichokisema zitto ni kweli au uongoWakuu nimekuwa na chuki sana na Huyu zito.
.
Namchukia sana kutoka rohoni mwangu.
.
Amekuwa na chuki sana na JPM kila akipata forum ya Kuzungumza anamzungumza Kwa mabaya JPM.
.
Unakuwaje na chuki na mtu ambae hawezi kukujibu Kwa lolote
View attachment 2215113
Unapoandika "wananchi hawawaelewi" na "hamjui siasa" unakusudia kunilundika katika kundi gani?Mengine ni kama haya, angalia hapo chini Lukuvi akiongea mwaka 2018 juu ya mgogoro wa Ardhi kwa Boko Somji [emoji1541]
Halafu soma hii article hapa chini [emoji1541] ya Makalla akitatua mgogoro huo huo mwaka 2021
RC Makalla amaliza mgogoro wa muda mrefu wa Boko Dovya kwa Somji - Timesmajira
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amemaliza Mgogoro wa muda mrefu wa...timesmajira.co.tz
Ni ishu kama hizi ndiyo zinafanya wananchi wengi wa kawaida hawawaelewi. Kimsingi hamjui siasa.
Magufuli hakuwa Rais sahihi kwa Nchi yetu bali alikuwa anapuyanga tu. Watanzania wengi elimu duni aliwadanganya kwa propaganda zake na wakadanganyika, hawakuwa na namna ya kupata taarifa mbadala.Wakuu nimekuwa na chuki sana na Huyu zito.
.
Namchukia sana kutoka rohoni mwangu.
.
Amekuwa na chuki sana na JPM kila akipata forum ya Kuzungumza anamzungumza Kwa mabaya JPM.
.
Unakuwaje na chuki na mtu ambae hawezi kukujibu Kwa lolote
View attachment 2215113
You have a one track mindset. A flat one at that. You lack depth and dimension.Kwanza umedeku hiyo video na kusoma hiyo article? Mambo gani sasa hayo?
Nakuweka katika kundi hilo la chawa wa hii inayojiita awamu ya 6. Kwa bahati mbaya sana, misimamo na mazungumzo yako, yanakuweka katika kundi hilo, huna tofauti na Skunk Fallacy na vidampa wengine.
Dkt Magufuli hakuwa muislamu, Zitto ni mdini! Najua kuna waislamu wasio na mrengo huo wengi tu mfano mzuri ni Mama Samia na Waziri mkuu, ila huyu kiumbe anaendeshwa na mihemuko ua ukabila na udini.
Unajua kweli ulichoandika? So mtu akiwa muuaji lazima akuue na wewe? Mkubwa bila akili
Unaweza kueleza kwa jinsi nyingi tu, lakini ishara za mazungumzo yako ni za kichawa. Haupo fair katika ukosoaji wala uungaji mkono wako. Of kozi, huwezi kuliona hilo kwasababu ndivyo ulivyo.
Hayo mengine ya mindset, depth na dimensions nakuachia wewe, ila jaribu pia kuwa na ngozi ngumu. Upo kwenye social media hapa na siasa ni contact sports!
Unaongelea "ishara za mazungumzo yako" kwa sababu huna data.Unaweza kueleza kwa jinsi nyingi tu, lakini ishara za mazungumzo yako ni za kichawa. Haupo fair katika ukosoaji wala uungaji mkono wako. Of kozi, huwezi kuliona hilo kwasababu ndivyo ulivyo.
Hayo mengine ya mindset, depth na dimensions nakuachia wewe, ila jaribu pia kuwa na ngozi ngumu. Upo kwenye social media hapa na siasa ni contact sports!
Endelea kuoza na kuliwa na minyoo huko kaburini hata Yesu akirudi ushindwe kufufuka Magufuli. Tanzania haikutendewa haki kuwa na Rais mwizi, muuaji na mwongo kama Magufuli Hata Magufuli akifufuka atakuwa ndiyo kuni za kuchomea moto wa jehanam ambao wakosefu wanaunguaWakuu nimekuwa na chuki sana na Huyu zito.
.
Namchukia sana kutoka rohoni mwangu.
.
Amekuwa na chuki sana na JPM kila akipata forum ya Kuzungumza anamzungumza Kwa mabaya JPM.
.
Unakuwaje na chuki na mtu ambae hawezi kukujibu Kwa lolote
View attachment 2215113
Siku sio nyingi hata kama sio ww au watu Wako wa karibu wataoza na kuliwa na minyoo piaEndelea kuoza na kuliwa na minyoo huko kaburini hata Yesu akirudi ushindwe kufufuka Magufuli. Tanzania haikutendewa haki kuwa na Rais mwizi, muuaji na mwongo kama Magufuli Hata Magufuli akifufuka atakuwa ndiyo kuni za kuchomea moto wa jehanam ambao wakosefu wanaungua
Wewe unafanya kitu kinaitwa "psychological projection".Data za nini wakati ukikumbushwa uliyosema huko nyuma unabisha! Mfano, uliwahi kusema wazi kuwa nyumba yenu ya Oysterbay kodi ilipungua na kukosa mpangaji/wapangaji wakati wa JPM na hivyo chuki yako dhidi yake. Leo unabisha kuwa hujawahi kusema hivyo!
Sasa basi, unakuwa chawa wa Samia kwasababu sasa kodi yenu imepanda na mna wapangaji!
Unajiribu kuwa rational katika mazungumzo yako, lakini ni wapuuzi tu ndiyo hawataona bias zako katika unayoandika.
"Boss wenu" nani? Unalazimisha mambo?Hayo ya ya bei ya mafuta tuachane nayo, ni ishu complex sana! Hahaha tayari boss wenu keshasema Marekani mafuta ghali kuliko bongo [emoji1787][emoji1787]
Alikupiga au alikuua?Mkuu Rais gani alikuwa mpigaji na muuaji zaidi ya Jiwe?
Nimekupa nafasi usimamishe hoja yako kwa nukuu zangu.Hahaha sasa mimi na wewe nani anafanya hiyo psychological projection? Miye wala sijali sana kuhusu siasa za bongo. Nilinufaika wakati wa Magufuli hasa kilichotokea kwenye real estate na nipo poised kunufaika katika serikali ya Samia. Vyovyote iwavyo kwangu ni win win! Hiyo chuki unayosema wewe itoke wapi??
Tatizo langu na watu dizaini yako ni kuwa mnaongea sana na mara nyingi hamkumbuki yale mliyoongea siku za nyuma. Kingine ni unafiki, mfano suala la nyie kupewa nyumba Oysterbay, kodi yake ya pango na mengine kuhusu hiyo real estate, umeongea kwa jinsi nyingi kiasi kwamba ukweli halisi haujulikani ni upi.
Acha chuki dhidi ya marehemu, kwa mara ya kwanza katika maisha yako, anza kuishi Kama vile unavyoongea. Siyo una project positivity wakati maongezi yako yana negatives kibao.
Kingine kama ni kweli JPM alikuwa karibu na familia yako, basi wewe ni miongoni mwa watu wa hovyo sana hapa duniani, huna loyalty wala “urafiki” wa kweli. Jitathmini..
Hata wewe upo kwenye mlengo wa kidini kwa sababu hiyo ndio maana unamsema zittoDkt Magufuli hakuwa muislamu, Zitto ni mdini! Najua kuna waislamu wasio na mrengo huo wengi tu mfano mzuri ni Mama Samia na Waziri mkuu, ila huyu kiumbe anaendeshwa na mihemuko ua ukabila na udini.
Hujafikia wattage ya kunipandisha munkari, do not flatter yourself.Hahaha nina enjoy flani unavyopandisha munkari! Una tatizo la hasira au hisia zako huwezi kuzi-control! Calm down
Emotions umeleta wewe unayenishutumu bila kutumia angalau nukuu yangu hata moja.Hahaha kwa kujikweza pia hujambo. Ila punguza emotions katika mijadala humu kwenye social media…
Mkuu tumia busara basi hata mara moja moja, mtu akiwa muuaji lazima akuue au akiwa mpigaji basi lazima ampige kila mtu? Nchi kama nchi ni kuweka utaratibu mzuri ili mtu kama yule asije kupewa madaraka makubwa kama ilivyotokea kwa bahati mbaya.Alikupiga au alikuua?
Tuthibitishie huo uuaji.Mkuu tumia busara basi hata mara moja moja, mtu akiwa muuaji lazima akuue au akiwa mpigaji basi lazima ampige kila mtu? Nchi kama nchi ni kuweka utaratibu mzuri ili mtu kama yule asije kupewa madaraka makubwa kama ilivyotokea kwa bahati mbaya.