Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakushauri nawe kaa kimya wote mkitulia naye akaona hakuna wa kumjibu ataacha.Wakuu nimekuwa na chuki sana na Huyu zito.
.
Namchukia sana kutoka rohoni mwangu.
.
Amekuwa na chuki sana na JPM kila akipata forum ya Kuzungumza anamzungumza Kwa mabaya JPM.
.
Unakuwaje na chuki na mtu ambae hawezi kukujibu Kwa lolote
View attachment 2215113
Moja ya matatizo yangu kuhusu criticism za Zitto, na hili linafanya hoja ya bias against Magufuli iwe na nguvu, ni ukweli kuwa Zitto hatoi criticism kwa Rais Samia na serikali yake.U nail it Mzee K
.
Ila Tunataka Kusema Zito haoni yanyoendelea Mpaka Sasa hapa nchini?
.
Je ishu ya kupandisha bidhaa awamu hii imekuwa too much, na sidhani km tunapaswa kutumia kigezo Cha Vita.
.
Leo Hii Zanzibar mafuta ni 2600+ ina maana wao anayachukulia dunia ipi?
.
Walichokifanya ni serikali kupunguza Kodi ili Bei isipande saana, Sasa kwasasa imekuwa hata bidhaa zinazozalishwa ndani na zilishazalishwa kitambo ziko kwenye magala wafanya biashara wanazipandisha tu hovyo.
.
Ni kama wamekosa mtu wakuwakalipia! Nondo Bai juu, saruji Bei juu, vyakula juu, mafuta juu, mabati juu, hata karatasi Bei juu duh! This is too much
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu, hakuna anayepinga mikopo au mkopo haikuwepo enzi ya Mzee.Kwa nini swali liwe kaongea nini na sio kaongea nani?
Kwani hatuwezi kufanya analysis inayochanganya vyote (nini na nani)na kusema kwamba.
1. Zitto ametoa outbursts ambazo ziko emotional zaidi na zinaonesha ana bias against Magufuli.
2. Lakini, kuwa na bias against Magufuli hakukufanyi usiweze kusema ukweli kuhusu Magufuli. In fact in some cases bias dhidi ya mtu ndiyo inaweza kukufanya uchimbe deep na kugundua ukweli ambao watu wasio na bias hawawezi kuugundua.
3. Hivyo, hoja za mtu mwenye bias against Magufuli, zinatakiwa kuchunguzwa kwa kina zaidi kwa kujua kwamba si za mtu neutral, ni za ntu mwenye bias against Magufuli.
4. Hilo halimaanishi hoja hizo zitupiliwe mbali kwa sababu mtu ana bias against Magufuli.
5. Moja ya namna ya kuziangalia hoja hizi ni kuangalia watu wengine ambao hawana bias against Magufuli wamesemaje. Tunajua hoja ya serikali kukopa sana si ya Zitto tu, in fact hata watu waliokuwa wanamkubali Magufuli kama Spika aliyejiuzulu wamelisema hili. Kwamba serikali inakopa sana. Kwa hiyo hii si hoja ya Zitto tu. Rais mwenyewe kasema serikali imefanya miradi mingi kwa kukopa na kukopa kunazidi, ingawa hakujazidi sana. Hivyo suala la serikali kukopa ni fact, si spin ya Zitto tu.
Nyie kweli ni mapopoma mnahamisha magoli kwamba maisha magumu yasasa nikwasababu ya mikopo ya hayati magu? Huo ujinga kawaelezeni wajombazenu vyeti feki.Huwezi kujua ugumu wa maisha unaoyokana na mikopo umiza ya jiwe,sababu unaishi kwa shemeji yako ana kulaza sebuleni.
Tatizo langu na Magufuli si kwamba hakufanya mazuri.Hapa pia kwa kiasi flani unajisema mwenyewe. Hivi kwa maoni yako, Magufuli alifanya mazuri mangapi? Tuanzie hapo
Kuna watu wana kushangaa wewe kuwa, pamoja na mapungufu ya JPM, lakini unashindwa kuona mazuri yake mengi.
Ukishakuwa unafadhiliwa na Marekani huwezi kusema mambo ya Marekani hayakuhusu. Unatakiwa kuwa na utashi angalau kujua huyu Mmarekani anafanyaje kunifadhili mimi na mimi nisiwe mfadhili wake kibajeti? Ukishindwa hilo unapepea umasikini wa milele.Hayo mambo ya Marekani tuwaachie wenyewe, sisi hayatuhusu, hapa tunazungumzia bongoTZ.
Mambo mengi yalifanyika kwa hela za ndani na mikopo ikiwepo. Ni uongo kusema kuwa kulikuwa na propaganda ya kusema “kila kitu” kilifanyika kwa pesa ya ndani. Kushindwa kwako Kwa makusudi (najua wewe ni mtu smart sana) kuona kuwa huo ni uongo, inasikitisha sana.
Yeye zitto kanufaika na nini? Kumsema vibaya magufuli?Halafu na wewe ukimchukia itakusaidia nini? Unahisi atapungukiwa nini kupitia hizo chuki zako?
Wakuu nimekuwa na chuki sana na Huyu zito.
.
Namchukia sana kutoka rohoni mwangu.
.
Amekuwa na chuki sana na JPM kila akipata forum ya Kuzungumza anamzungumza Kwa mabaya JPM.
.
Unakuwaje na chuki na mtu ambae hawezi kukujibu Kwa lolote
View attachment 2215113
Mimi JPM kaipa familia yangu nyumba Oysterbay na alikuwa anaongea na baba yangu tangu alivyokuwa waziri.Nakubaliana na wewe Kwa sehemu kubwa, ila sentensi ya mwisho hapo imeonyesha tena unconscious bias yako naweza kusema dhidi ya JPM. Eti Samia anajua kuuma na kupuliza, kweli?? Wakati toka aingie kauli zake kuhusu umeme wa elfu 27, bei ya mafuta, kupanda bei bidhaa na kadhalika ni kauli ambazo ni za kuuma na kusagia chumvi kwenye kidonda. Wewe una mapenzi kiasi na Samia na chuki dhidi ya JPM. Unajaribu kuwa fair, lakini mwisho wa siku dhamira yako ndani kabisa ina kuumbua.
Sasa si unatakiwa umuulize mhusika mwenyewe kama na mimi nilivyo muuliza mtoa mada!Yeye zitto kanufaika na nini? Kumsema vibaya magufuli?
Sijapenda Zitto alivyosema wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato.
Hii kauli ya Zitto ni mipasho ya mtaani ambayo haifai kutamkwa na kiongozi wa hadhi yake.
Sawa basi, tuache Marekani. Kwanza Marekani si nchi, ni idea.Rudia tena kusoma ulichoandika! Ni dhahiri kuwa hutakuja kuelewa kwanini watanzania wengi walikubaliana na kumpenda JPM.
Kama nilivyosema awali, mambo ya Marekani tuwaachie wenyewe, hapa tunaongea siasa za ndondo cup, siyo premier league.
Hao Marekani wenyewe ile version yao ya wamachinga, zile tent [emoji904] communities chini ya overpass na pembeni ya mabarabara wameziacha kama zilivyo. Lakini sisi tumewafukuza wamachinga eti kusafisha miji ili “wazungu” wasione “uchafu.” Wakati Leo miji Kama Seattle, Phoenix, Tacoma, Minneapolis na kadhalika inavunda kwa uchafu na watu kuishi kwenye make shift tents [emoji904]
Hapa pia Kiranga umeongea uongo! Miye nakusoma sana kwenye threads tofauti kwa miaka.
Nadhani umesahau pia kuwa uliwahi kusema kuwa, JPM alisababisha familia yako wakawa wanakosa kodi ya pango Oysterbay kwenye nyumba yenu kwasababu ya sera zake! Ulionyesha kuwa hii pamoja na mengine, imechangia sana wewe kumchukia JPM. Halafu hapa unasema ulimpenda kwasababu aliwapa nyumba hahaha, basi tufanye ngoma droo! Kuwa fair brother, ona mazuri pia na mshukuru mungu.
Hayo ni mambo ya dini sasa, ambayo mimi sikubaliani nayo.Ndiyo maana watu wanashangaa juhudi za makusudi za kumchafua marehemu badala ya kuweka energy hiyo kutatua matatizo yaliyopo na kupanga mipango ya baadae.
JPM alifanya yake, maisha na urais wake ni somo, kuna wanaomuunga mkono kwasababu tu aliwapa ujasiri, kuwatia moyo, uthubutu, ari na ile tu feeling kuwa inawezekana. Kauli kama sisi si masikini, au tunafanya bla blah kwa pesa ya ndani, zilikuwa designed kutia watu moyo. Unatakiwa utoke nje ya hilo boksi lako kuelewa kwanini wananchi wengi wa kawaida walimkubali sana na bado wanamkubali JPM.
My point ni kwamba sina sababu ya kumchukia JPM personally.Ni maneno yako, ulisema mwenyewe hapa JF kuwa alifanya kodi ikaporomoka au kukosa kabisa wapangaji.
Mfano, miye binafsi pamoja na mengine, nilimpenda sana JPM kwasababu ya hiyo hiyo real estate industry, aliifanya ikarudi kwenye uhalisia kwani ilikuwa kama bubble flani hivi unrealistic. Kwangu mimi kipindi cha Magufuli Kilikuwa ni kipindi cha kununua na kuwekeza kwenye real estate! Kwahiyo majanga yako, yalikuwa fursa kwangu na wengine waliyoona kile nilichoona!
Am not railroading you or anything, I think you are a good sports and a formidable debater. Don’t take anything personal!
Unapenda uongo mtamu kuliko ukweli mchungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].L
Najua pia si shabiki wa dini, niliweka hiyo ku-prove hiyo response hahaha.
Anyways, miye baba yangu akikopa ili nipate mahari ya kuoa, sitapenda kama akiniambia hilo au kutangaza kwa majirani. Ni bora tu iwe siri yake, as long as ana plan nzuri ya kulipa deni.