Nimechagua kumchukia Zitto Kabwe kutokana na kuwa na chuki na Hayati Magufuli

Zito ni kama ka mjusi ukutani tu. Kalipwa huyo kueneza uongo ili watu wasahau mazuri ya JPM na kuanza kushabikia mambo yasiyo eleweka ya sasa, na ni kazi ngumu isiyo wezekana kuifanya jamii imuelewe vibaya JPM badala ya mazuri,haitawezekana hata wafanye nini
 
Tatizo hata hiyo logic huna, ndiyo maana una shindwa kuelewa vizuri hata huo mjadala wa mikopo. Ungekuwa unatumia akili kidogo tu, ungeona kituko cha Samia au Zitto kumponda JPM kwa ‘kukopa sana.’

Tatizo unafanya assumption sana.

Halafu hujui kusoma kwa ufahamu.

Halafu una dimensionless flat one track mind, nikianza kujadili vitu kwa nuance huelewi. Ndiyo mwisho wa uwezo wako.

Nimeandika habari za mikopo mpaka kuweka debt to GDP ratio za Marekani na Tanzania.

Ukakimbia mjadala huo.

Tatizo hata sina hakika kama unaelewa debt to GDP ratio ni kitu gani na kama ushawahi kukisikia kabla ya leo.

Sasa tutajadiliana vipi hapo?
 
A house becomes a home when family members are united.
.
U guys chill up mane....Hug just to show love.
.
Kesho tunazindua Royal Tour hapa tunataka kila mtu amuone Piraaa akiwa hapa mjini live kabisakabisa! 🫂🫂

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wewe una inferiority complex.

Nikikueleza maisha yangu unaona elitism.

Halafu huwezi mjadala na mimi, kwa sababu huwezi mjadala wa data.

Ukiletewa data unakimbia.

Unataka mjadala wa mipasho.

Halafu wewe ni ngumbaru, hujui kusoma kwa ufahamu.

Hatuwezi kuelewana.

You are a semi-literate innumerate.
 
Nimemuita chawa kwa makusudi, nilitegemea itamkwaza, alivyokuwa kubwa jinga kakwazika kweli. Hovyo sana
Huna uwezo wa kunikwaza mimi wewe nyungunyungu usiye na ubongo wala uti wa mgongo.

Mimi nakuonesha tu kwamba huwezi kubishana nami kwa hoja wala kwa viroja.
 
Wewe ishu relevant hata ukiwekewa chini ya pua yako utaijua?
 
Chuki yanini ndugu amekushauri ukazikwe pembeni yake kama unaona hilonikosa kumbe hupendi jamaa yule mkwapuaji au panya road ulitaka zito ampende wakati alizuia pesa za bonde lamto lwiche kazuia vingi tu vyakuja kigoma jamaa bora hivo alikufa alikuwa naroho mbaya alafu alikuwa mshamba kweli kweli
 
Kwenye hii comment yako inaonesha 2021 tu deni limeongezeka kwa 20% sasa hapo mbona inaonekana mwaka mmoja wa SSH umeongeza 20%kati ya hizo 20% riba imechangia kiasi gani
 
Kiranga kokote uliko am ur mpambe
 
Katika miaka mi5 ya Magufuli kalipa madeni ya nje kwa kiasi gani na kakopa nje kwa kiasi gani ili tufahamu kama kweli tumefanya kwa pesa za ndani au la. Maana kama kalipa madeni ya nyuma kwa kiasi kikubwa kuliko alichokopa automatically inaonesha huo mkopo ulikuwa kama pesa za ndani zimefanya kazi
 
Ameongeza deni kwa 66% in 6 years.

Kwa rate hii ange double national debt kabla ya kumaliza miaka 10 yake.

And that is by using the most conservative figures.

Some figures, depending on how you count, had him already at doubling the national debt in his 6 years.



 
Ndio hakukopa. Wewe una uhakika gani wakati kutwa nzima uko jf
 

mimi nimemchukia sana natamani afe hata leo mtu mwenye roho mbaya sana anakataza watu wasimseme mama yake hapohapo yeye anamsema jpm
 
Ndio hakukopa. Wewe una uhakika gani wakati kutwa nzima uko jf
Data zinaongea.

Kama unajua kusoma.




 
Dkt Magufuli hakuwa muislamu, Zitto ni mdini! Najua kuna waislamu wasio na mrengo huo wengi tu mfano mzuri ni Mama Samia na Waziri mkuu, ila huyu kiumbe anaendeshwa na mihemuko ua ukabila na udini.
Onesha huo udini wa Zitto. 1.2.3.4
 
Mtoa taarifa c ndo amefahamika kwa wale wenye akili huru dalili zote za aliyekuwa informer wa kundi j zee ndo yupo mahari patakatifu kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…