Nimechaguliwa kujiunga na AZANIA SECONDARY SCHOOL A-LEVEL 2023 wanaoijua mnisaidie hapa

soma kwa bidii jinsi ulivyokua unasoma mwanzo zidisha mara tatu yake,usijione umefanikiwa ishi maisha yako kawaida kuwa na marafiki wanaokuzidi zaidi ikiwezekana kua na urafiki na kipanga wa mbele yako piga msuli ufaulu vizuri zaidi pia usiache ibada
 
Asanteh sana
 
Cha kwanza kabisa, hama PCM ambako unaenda kupata three ya 15, njoo HKL ili upate one yako safi, ndipo twende sambamba.
 
soma kwa bidii jinsi ulivyokua unasoma mwanzo zidisha mara tatu yake,usijione umefanikiwa ishi maisha yako kawaida kuwa na marafiki wanaokuzidi zaidi ikiwezekana kua na urafiki na kipanga wa mbele yako piga msuli ufaulu vizuri zaidi pia usiache ibada
Shukrani sana
 
Hakikisha mpaka unamaliza cha sita pale kariakoo unafahamika na wenye maduka kwa kuwa winga wao, then usiunge chuo endelea na mbishe hapohapo kko, utakuja kunishukuru bdae. Chuo utasomaga hata bdae.
 
Dah janja hongera sn kufaulu na kujiunga advance... hiyo scul nimepga apo advanv kombi ya pcb.. nenda kasome achana na pisi za jangwani na zanaki maana hao ndo madem wa watoto wa azania..
Kusoma dar kuna changamoto sn tena ukiwa day school na uwe kombi ngum kama pcb na pcm aisee.. enzi zang nasoma apo tulkua tunapaita ore university maana cmu kawaida kutumia, shule ni ya boys lkn madem kbao haswa cku za j moc forest pale kwny vimbweta palikua panapendeza sn sketi za orange.. nmewala sn watoto wa jangwan na zanaki apo kisa kusoma pcb[emoji23][emoji23]
 
PCM unaenda kupata three ya 14 au 15, kisha unarudi kutumia cheti cha kidato cha 4 kuomba kusoma Diploma pale DIT au ATC.
Umejuaje ka nitapata ufaulu huo wakati haunijui background yangu?
 
Hakikisha mpaka unamaliza cha sita pale kariakoo unafahamika na wenye maduka kwa kuwa winga wao, then usiunge chuo endelea na mbishe hapohapo kko, utakuja kunishukuru bdae. Chuo utasomaga hata bdae.
nitalifanyia kazi
 
Zote ulizotaja Zina bweni, we mshamba kweli [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Azania hostel zipo ila kwa enz zetu ilkua kupata lazma umpe ngozye(mkuu wa shule kipnd hicho) kiasi flan cha pesa..
Tambaza napo zipo ila kwa wasichana japo nazo kupata mlungula lzm uwepo..

Wengi wetu tulikua tunapoa sehem moja inaitwa mogadishu..

Kingne iyo shule kuna mbu cjapata kuona, tulikua tunadanganyana ni mbu wa artificial walotengenezwa na chuo cha muhas[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…