Nimechaguliwa kujiunga na AZANIA SECONDARY SCHOOL A-LEVEL 2023 wanaoijua mnisaidie hapa

Dogo langu me nimepiga Azaboy O level (Lebo nyeusi), advance nikaenda mkoani shule Fulani ya ufundi. Washkaji wengi tulikataa kuendelea kusoma Azaboy, kwasababu mabraza wetu tulikuwa hatufurahishwi na performance zao.

Kufika mkoani, shule yenyewe mixture ukijumlisha tumetoka uboizini, misheria kibao, mademu wenyewe wabovu tu. Tukaanza ku compare na Ile shule na Azaboy, tukaona Azaboy Kuna potential ya kupiga marks za umaarufu kuliko pale. Tuliofaulia pale wote tulirudi Azaboy.

Dogo langu unachopaswa ukijue, Azaboy Ina walimu wengi uwezo mdogo. Kuna walimu Wametufundisha o level Wana mental issues, unachokiona kwenye matokeo ya necta ni kwasababu wanafunzi wanaopelekwa pale ni "machizi kusoma"
 
Yah kwa kombi yako hyo fosi bweni pale sema cjajua kwa sasa ila kipnd chetu raia walikua wanalala darasn tu na fresh asbh kukikucha godoro linaekwa juu ya dali na magodor yalkua mawili tuu so weng mnaishia kulala kwmy meza huku mnasom
Dah! Mkuu umenikumbusha Maisha ya utravela
 
"machizi kusoma" hapo una maana gani mkuu?

shukurani.
 
"machizi kusoma" hapo una maana gani mkuu?

shukurani.
Ili uende Azaboy Kwa o level,lazima uwe na wastani wa A. Pili assume mwalimu Hana msaada wowote kwako, sijui kichwa chako kipoje, ila Mimi topics karibu zote za PCM nilikuwa nakava mwenyewe.

Enzi zetu kuanzia 4m4 Hadi 4m6 tulikuwa matravela (kulala madarasani au unaenda kugongea Kwa washkaji hostel).

Uzuri mazingira ya kule kila kitu unachohitaji kama mwanafunzi ili ufaulu vizuri kipo. Ni juu Yako na kichwa chako kitakavyokutuma, na ukitaka Bata ndo usiseme
 
Ooh! nimekupata.
 
Azaboy ilkuaga bata sn binafsi sikushangaaga niliposikia kuna kipnd iliingia top last[emoji28]
 
Azania siku hizi kuna mabweni Chief
 
Nakupongeza kwa hilo, Azania ni Day School , je umeshajianda ki-saikolojia kukimbizana na masomo huku ukiwa Day tena kwa jiji kama la Dsm? Na wewe umechaguliwa kusoma PCM?

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Wakongwe tuliopambana Advanced Physics, Chemistry, Biology, Pure Math tunakuzoom tu hata utanie au usitanie..

Tafuta nyuzi zinazohusu Advanced Physics humu uone shuhuda za watu jinsi walivyohenyeshwa na Phyz
[emoji1][emoji1][emoji1], hatari na nusu..mnyama Phy!

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Hizo shule zote kwa advance ni bweni.
Chai ,bweni za kimchongo mfano Azania haichukui wanafunzi wote kuna kundi kubwa wanaishi nje ,Tambaza hostel kwa girls pekee.
 
Azaboi ya sasa sio kama ya Zamani shule nyingi za Dar A_level siku hizi ni za kawaida sana inahitaji msuli kazi haswa kwa wewe PCM ukiyumba kidogo tayari ushapotea.
 
Chai ,bweni za kimchongo mfano Azania haichukui wanafunzi wote kuna kundi kubwa wanaishi nje ,Tambaza hostel kwa girls pekee.
Duuuh hatari mbna, hata sikuwa najua, nkawa najua kwa advance bweni wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…