Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

Dav-max

Member
Joined
Feb 10, 2025
Posts
39
Reaction score
40
Naleta kwenu hili wadau naimani mtanishauri vyema. Nataka kucha kazi yangu ya ualimu niliyodumu nayo Kwa miaka mitano(5).

Sababu kubwa za kuacha kazi.
( 1) Nilicho kitegemea na nilichokikuta ni tofauti nimegundua (mtaani nilikuwa na tengeneza pesa nyingi kabla ya kuajiriwa)

(Ii)Nahitaji uhuru. ( Nashindwa kusimamia mambo yangu Kwa ubora unaotakiwa Kwa sababu ya kutokuwepo eneo husika).

(iii)Naamini sana katika uwezo wangu maana najijua Mimi ni mpambanaji.

CHANGAMOTO.
Naomba ushauri kwenu wadau, ukiwa na mkopo bank na ukaamua kuacha kazi ya ualimu baada ya kuacha kazi nini huwa kinafuata Kwa mwajili wako(serikali) na bank. Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhali.
 
  • Naleta kwenu hili wadau naimani mtanishauri vyema.
_ Nataka kucha kazi yangu ya ualimu niliyodumu nayo Kwa miaka mitano(5).
Sababu kubwa za kuacha kazi.
( 1) nilicho kitegemea na nilichokikuta ni tofauti nimegundua( mtaani nilikuwa na tengeneza pesa nyingi kabla ya kuajiriwa)

(Ii)nahitaji uhuru. ( Nashindwa kusimamia mambo yangu Kwa ubora unaotakiwa Kwa sababu ya kutokuwepo eneo husika).

(iii)Naamini sana katika uwezo wangu maana najijua Mimi ni mpambanaji .

CHANGAMOTO.
Naomba ushauri kwenu wadau, ukiwa na mkopo bank na ukaamua kuacha kazi ya ualimu baada ya kuacha kazi nini huwa kinafuata Kwa mwajili wako(serikali) na bank. Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhali .
Watakata mafao Yao bank kwenye kiinua mgongo chako!
 
  • Naleta kwenu hili wadau naimani mtanishauri vyema.
_ Nataka kucha kazi yangu ya ualimu niliyodumu nayo Kwa miaka mitano(5).
Sababu kubwa za kuacha kazi.
( 1) nilicho kitegemea na nilichokikuta ni tofauti nimegundua( mtaani nilikuwa na tengeneza pesa nyingi kabla ya kuajiriwa)

(Ii)nahitaji uhuru. ( Nashindwa kusimamia mambo yangu Kwa ubora unaotakiwa Kwa sababu ya kutokuwepo eneo husika).

(iii)Naamini sana katika uwezo wangu maana najijua Mimi ni mpambanaji .

CHANGAMOTO.
Naomba ushauri kwenu wadau, ukiwa na mkopo bank na ukaamua kuacha kazi ya ualimu baada ya kuacha kazi nini huwa kinafuata Kwa mwajili wako(serikali) na bank. Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhali .
Aisee kumbe una madeni ya bank na ulimopa kwa dhamana ya ajira?
 
Angalizo langu kwako ni moja tu.
"Usitake kujiajiri ,sababu ikiwa ni kuchoka kuajiriwa".
My friend, utaitaman ajira ndan ya mwezi mmoja tu.
Njoo ujiajiri kwakua umeona changamoto flan ma unataka kuitumia hiyo kama fursa.
Hata kuwa na mtaji bado sio kila muda ni sababu tosha ya kukufanya kujiajiri na ndio maana kna watu wanajiajiri hata kama hawana mtaji. Tazama fursa kisha chukua hatua
 
Naleta kwenu hili wadau naimani mtanishauri vyema. Nataka kucha kazi yangu ya ualimu niliyodumu nayo Kwa miaka mitano(5).

Sababu kubwa za kuacha kazi.
( 1) Nilicho kitegemea na nilichokikuta ni tofauti nimegundua (mtaani nilikuwa na tengeneza pesa nyingi kabla ya kuajiriwa)

(Ii)Nahitaji uhuru. ( Nashindwa kusimamia mambo yangu Kwa ubora unaotakiwa Kwa sababu ya kutokuwepo eneo husika).

(iii)Naamini sana katika uwezo wangu maana najijua Mimi ni mpambanaji.

CHANGAMOTO.
Naomba ushauri kwenu wadau, ukiwa na mkopo bank na ukaamua kuacha kazi ya ualimu baada ya kuacha kazi nini huwa kinafuata Kwa mwajili wako(serikali) na bank. Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhali.
Kama unaamni ndani yako basi inatosha tembea mbele ila Fanya jambo wakufukuze ili ukadai mafao yako. Ukikopa bank hutakuwa na uhuru wa kudai mafao.
 
Angalizo langu kwako ni moja tu.
"Usitake kujiajiri ,sababu ikiwa ni kuchoka kuajiriwa".
My friend, utaitaman ajira ndan ya mwezi mmoja tu.
Njoo ujiajiri kwakua umeona changamoto flan ma unataka kuitumia hiyo kama fursa.
Hata kuwa na mtaji bado sio kila muda ni sababu tosha ya kukufanya kujiajiri na ndio maana kna watu wanajiajiri hata kama hawana mtaji. Tazama fursa kisha chukua hatua
Asante mkuu! Fursa niliyoiona Mimi nikilimo na nimekuwa nikilimo na nimekuwa nikilima tangu naajiriwa so natamani kwenda kufanya Bora zaidi.
 
Naleta kwenu hili wadau naimani mtanishauri vyema. Nataka kucha kazi yangu ya ualimu niliyodumu nayo Kwa miaka mitano(5).

Sababu kubwa za kuacha kazi.
( 1) Nilicho kitegemea na nilichokikuta ni tofauti nimegundua (mtaani nilikuwa na tengeneza pesa nyingi kabla ya kuajiriwa)

(Ii)Nahitaji uhuru. ( Nashindwa kusimamia mambo yangu Kwa ubora unaotakiwa Kwa sababu ya kutokuwepo eneo husika).

(iii)Naamini sana katika uwezo wangu maana najijua Mimi ni mpambanaji.

CHANGAMOTO.
Naomba ushauri kwenu wadau, ukiwa na mkopo bank na ukaamua kuacha kazi ya ualimu baada ya kuacha kazi nini huwa kinafuata Kwa mwajili wako(serikali) na bank. Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhali.
Ulipoajiriwa ulituuliza? Leo unatuuliza ili iweje?! Sort out your life on own. Tusichoshane kipumbavu humu.
 
Back
Top Bottom