- Thread starter
- #21
Asante Kwa mchongo wako piaUlipoajiriwa ulituuliza? Leo unatuuliza ili iweje?! Sort out your life on own. Tusichoshane kipumbavu humu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Kwa mchongo wako piaUlipoajiriwa ulituuliza? Leo unatuuliza ili iweje?! Sort out your life on own. Tusichoshane kipumbavu humu.
USIJARIBU kufanya huu Ujinga, Mtaa utakukataa mazima.Sina deni mkuu ila natamani nilipue bank afu nitembee , maana ninaamini mkopo Bado naweza kuulipa vizuri.
Asante Kwa ushauri!USIJARIBU kufanya huu Ujinga, Mtaa utakukataa mazima.
Make sure unaacha kazi ukiwa CLEAN, huwadai na wao hawakudai. Kama unahitaji Mkopo basi tumia mali zako kuchukulia huo mkopo na sio ukope bank halafu uache ajira, HUTATOBOA MILELE.
Note: kama huna asset yoyote unayoweza kuombea mkopo basi ujue bado haupo tayari kuja mtaani. Endelea kujichanga.
Vilevile usiende kujiajiri kisa umepata MZUKA au kwa-IMANI. Kujiajiri kunahitaji mikakati, subira, mbinu, ujasiri na mipango madhubuti hasa kwa mtu ambaye unatoka kwenye ajira.
Be a Man, integrity ndio Msingi kwenye kujiajiri. Acha ujanja ujanja. Be Legit.
HahahaSina deni mkuu ila natamani nilipue bank afu nitembee , maana ninaamini mkopo Bado naweza kuulipa vizuri.
Waswahili wanasema kama huna intergrity ukiwa umeajiriwa huwezi kujiajiriBe a Man, integrity ndio Msingi kwenye kujiajiri. Acha ujanja ujanja. Be Legit.
Nakuungà mkonoNaleta kwenu hili wadau naimani mtanishauri vyema. Nataka kucha kazi yangu ya ualimu niliyodumu nayo Kwa miaka mitano(5).
Sababu kubwa za kuacha kazi.
( 1) Nilicho kitegemea na nilichokikuta ni tofauti nimegundua (mtaani nilikuwa na tengeneza pesa nyingi kabla ya kuajiriwa)
(Ii)Nahitaji uhuru. ( Nashindwa kusimamia mambo yangu Kwa ubora unaotakiwa Kwa sababu ya kutokuwepo eneo husika).
(iii)Naamini sana katika uwezo wangu maana najijua Mimi ni mpambanaji.
CHANGAMOTO.
Naomba ushauri kwenu wadau, ukiwa na mkopo bank na ukaamua kuacha kazi ya ualimu baada ya kuacha kazi nini huwa kinafuata Kwa mwajili wako(serikali) na bank. Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhali.
Asante mkuuNakuungà mkono
N:B nilianza Kwa kujiari kabla sijaajiliwa , nilikaa miaka mitano before employment.Waswahili wanasema kama huna intergrity ukiwa umeajiriwa huwezi kujiajiri
Kumbe una uzoefuN:B nilianza Kwa kujiari kabla sijaajiliwa , nilikaa miaka mitano before employment.
Hii hata wajeda huwa wanafanya , private ana uhakika wa 20M so amehitimu tu akikaa miezi ama mwaka kabla haujaisha huyo akasepa na mkopo, fanya ilo dili. Hata wanafunzi waliokuwa wakienda kusoma Russia walikuwa wakipewa bumu na ada wanachukua hela around 7k-9k USD wanasepa miaka iyo ya zamani kidogoNiweke sawa sijakopa ila ninatamani kulipua bank then nitembee Sina hata mia ninayo daiwa bank mjomba🤣🤣🤣.
Yap! Nabado nipo kazini Kuna vitu nafanya nje ya box ingawa siyo Kwa ukubwa naoutaka Mimi na hii ni Kwa sababu ya muda maana Kuna muda nachoka kumdanganya mkuu Ili nikashughulikie mipango yangu ko sometime nashindwa kutoa matokeo mazuri kwenye project zangu Kwa sababu ya kutoatend site muda mwingi.Kumbe una uzoefu
Unalima wapi? Ingia Instagram jamaa mmoja anajiita feller biashara yupo iringa huko, anafanya zake kilimo cha parachichi, Yuko na uhuru na anafanya anachokipenda,Yap! Nabado nipo kazini Kuna vitu nafanya nje ya box ingawa siyo Kwa ukubwa naoutaka Mimi na hii ni Kwa sababu ya muda maana Kuna muda nachoka kumdanganya mkuu Ili nikashughulikie mipango yangu ko sometime nashindwa kutoa matokeo mazuri kwenye project zangu Kwa sababu ya kutoatend site muda mwingi.
Mimi nitakufata sio muda, japo mimi Niko na miaka miwili, Nina hekari 15 za mashamba, japo nataka nifikishe hekari 30, ya zao la michikichi baada ya hapo nachukua hela zangu zoote, hakuna anayeacha kazi wewe kama ni biashara au kilimo unakua unafanya uko, unarudi shule unakaa siku Moja au mbili unaondoka Tena, yaani mpaka watakufukuza wenyewe. Mimi nataka nisimamishe kwanza biashara, mashamba n.k then nisepe, kuondoka bila ya kua na chanzo cha uhakika, utaliaa mpaka utaitamani hiyo
Nalima sumbawanga maharage na mahindi na viazi nalima mbeyaUnalima wapi? Ingia Instagram jamaa mmoja anajiita feller biashara yupo iringa huko, anafanya zake kilimo cha parachichi, Yuko na uhuru na anafanya anachokipenda,
Uko vizuri, Mimi nipo kigoma japo nitaanza kutembelea uko.Nalima sumbawanga maharage na mahindi na viazi nalima mbeya
Welcome!Mimi nitakufata sio muda, japo mimi Niko na miaka miwili, Nina hekari 15 za mashamba, japo nataka nifikishe hekari 30, ya zao la michikichi baada ya hapo nachukua hela zangu zoote, hakuna anayeacha kazi wewe kama ni biashara au kilimo unakua unafanya uko, unarudi shule unakaa siku Moja au mbili unaondoka Tena, yaani mpaka watakufukuza wenyewe. Mimi nataka nisimamishe kwanza biashara, mashamba n.k then nisepe, kuondoka bila ya kua na chanzo cha uhakika, utaliaa mpaka utaitamani hiyo laki 3.