Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

🤣🤣🤣 Asante Kwa kusema ukweli!!! Mfanyakazi ndo analipia Kodi kuliko mtu yeyote Tanzania na Hana kwakukwepea
Punda wa nchi hii ni mfanyakazi, alafu utasikia mtu anasimama ati walipa kodi nchi hawafiki m3 , ccm ,inatakiwa kuondoka madarakani hata kesho aisee,

Mfanyakazi wa nchi hii ni shida, alafu vyama vyao wanawakata pesa ili nini wanawafanyia katika kuwatetea hakuna ,wao ni kusubili mei mosi kuwatwika wenzao mabango ,leo chawa tz wa ccm mapato yake kwa mwezi ni makubwa kuliko mfanyakazi wa nchi hii, ala ndo kwanza kila mei mosi yapo uwanjani yanapigwa jua.

Kuna mda huwa nawaza hii nchi nitumie njia gani kuisaidi nakosa jibu.

Leo apa tunawasemea wafanyakazi ila wao wapo wapo tu ,walim na shida iliyokuu ndani ya nchi hii
 
Punda wa nchi hii ni mfanyakazi, alafu utasikia mtu anasimama ati walipa kodi nchi hawafiki m3 , ccm ,inatakiwa kuondoka madarakani hata kesho aisee,

Mfanyakazi wa nchi hii ni shida, alafu vyama vyao wanawakata pesa ili nini wanawafanyia katika kuwatetea hakuna ,wao ni kusubili mei mosi kuwatwika wenzao mabango ,leo chawa tz wa ccm mapato yake kwa mwezi ni makubwa kuliko mfanyakazi wa nchi hii, ala ndo kwanza kila mei mosi yapo uwanjani yanapigwa jua.

Kuna mda huwa nawaza hii nchi nitumie njia gani kuisaidi nakosa jibu.

Leo apa tunawasemea wafanyakazi ila wao wapo wapo tu ,walim na shida iliyokuu ndani ya nchi hii
Hakika mkuu kweli tupu! Perfect said💪
 
Asante mkuu! Fursa niliyoiona Mimi nikilimo na nimekuwa nikilimo na nimekuwa nikilima tangu naajiriwa so natamani kwenda kufanya Bora zaidi.
Hauwezi kufanya kilimo huku ukiwa kazini??? Upo mjini au kijijini?
 
Usiache ajira hujajipanga ndugu utachaka hata pesa ya vocha itakukosa.
Ushauri jipange kwanza ukiwa kazini, biashara, kilimo etc ikishasimama vizuri ndio uachane na kazi.
Kumbuka kuna maelfu ya watu wanapambamia usiku na mchana hiyo kazi yako na bado wanakosa mtaani kugumu.
Acha mtia mtu woga , leo fundi viatu wenda anaingiza pesa mingi kuliko mfanyakazi ,

Ukiamua acha kazi cha muihimu kwanza panga wapi unaweza enda anzisha maisha mapya , nje ya wilaya au mkoa uliozoeleka , kule hata mizigo beba ili kupaata mtaji mengine utajua mbele ,acheni tisha watu Bwana
 
Acha mtia mtu woga , leo fundi viatu wenda anaingiza pesa mingi kuliko mfanyakazi ,

Ukiamua acha kazi cha muihimu kwanza panga wapi unaweza enda anzisha maisha mapya , nje ya wilaya au mkoa uliozoeleka , kule hata mizigo beba ili kupaata mtaji mengine utajua mbele ,acheni tisha watu Bwana
Shukurani sana jasiri mwongoza njia.♥️
 
Mwenye salary slip ya mfanyakazi yoyote wa kuanzia kima cha 1.5 ndani serikali ebu aweke hapa ndo mtajua mantiki ya mtoa mada ,mtashangaa sana
 
Nipo nipo kijijini kunako elekea kuwa mjini bahati mbaya huku kilimo siyo mahala pake ni Sehemu ya wachimbaji aridhi haisaport kilimo.
Okay sawa, mi kwa experience yangu....hauna haja ya kuomba omba ushauri wala kusikiliza sikiliza maoni ya watu....unachotakiwa kusikiliza ni ILE SAUTI YA NDANI YAKO (NINI INAKUAMBIA) NA AMINI UWEZO WAKO.

hapa utavurugwa tu kuna watu tumeridhika na kupata buku kwa siku ukiniambia risk za biashara na kilimo huko mi sikuelewi buku inanitosha sasa unategemea nitakushauri nini?

Fanya kile nafsi yako inakuambia
 
Aliekuambia ukijiajiri ndio utakua mwenye furaha nani!!?

Kupata mapesa Huwa ni upepo wa muda tu unaovuma kipindifulani maishani!!sii kanuni ya kudumu mkuu!!

Ndio maana Kuna jamaa enzi za Nyerere,mkapa mwinyi na kikwete Hadi jpm walipata mapesa baadae yakakauka kau!
 
Mwenye salary slip ya mfanyakazi yoyote wa kuanzia kima cha 1.5 ndani serikali ebu aweke hapa ndo mtajua mantiki ya mtoa mada ,mtashangaa sana
Exactly, kama hujaingia kwenye mfumo huwezi jua,, wakati naajiriwa nilipoona basic nikajisemea kuwa hapa naenda kujimeki na kutengeneza maisha yangu haraka sana, alooooh, sikujua kuwa Kuna basic and take home nilichoka😃
 
Aliekuambia ukijiajiri ndio utakua mwenye furaha nani!!?

Kupata mapesa Huwa ni upepo wa muda tu unaovuma kipindifulani maishani!!sii kanuni ya kudumu mkuu!!

Ndio maana Kuna jamaa enzi za Nyerere,mkapa mwinyi na kikwete Hadi jpm walipata mapesa baadae yakakauka kau!
Asante Kwa mchongo wako. See you at the top!
 
Okay sawa, mi kwa experience yangu....hauna haja ya kuomba omba ushauri wala kusikiliza sikiliza maoni ya watu....unachotakiwa kusikiliza ni ILE SAUTI YA NDANI YAKO (NINI INAKUAMBIA) NA AMINI UWEZO WAKO.

hapa utavurugwa tu kuna watu tumeridhika na kupata buku kwa siku ukiniambia risk za biashara na kilimo huko mi sikuelewi buku inanitosha sasa unategemea nitakushauri nini?

Fanya kile nafsi yako inakuambia
Respect!!
 
Mkuu usijaribu kukopa halafu ukaacha kazi. Biashara zina mengi hasa kwenye stages za mwanzo (miaka ya mwanzoni), nyingi huwa haziendi kama unavyotarajia.
Anza bishara yako ukiwa ndani ya ajira mpaka pale utakapopata uzoefu.
Hata utakapopata uzoefu usije ukakopa halafu ukatokomea na deni kwa makusudi.
Kufanya hivyo ni alama ya kwamba moyo wako umetawaliwa na matamanio ya wizi na uko tayari hata kufanya dhuluma ili upate utajiri, mentality hiyo inaweza isiishie kuidhulumu serikali tu ukafika hadi kwa watu binafsi au hata kwa utakaowaajiri kwenye biashara zako, na unakoenda hiyo roho ya uzulumiaji hautaicha na huenda karma hiyo ikaja kukurudia.
 
Back
Top Bottom