Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

Niliwahi kukopa kiasi kidogo cha pesa, Tsh 10M mwaka juzi mwezi March, ilipofika June nikaenda kununua mpunga bahati isivyo yule mwenyeji akanifanyia hujuma akaniwekea mpunga mbaya wakati wa kukoboa ukawa unavunjika vunjika sana na bei kwa mwaka jana haikuwa nzuri, so nilipata hasara ambayo ilinikata mtaji huo.
Kilichonisaidia mwaka jana nilipata dili likanipa 20M so ndio angalau ikapunguza maumivu ya hiyo hasara. Ndio ambayo nimefanyia misheni zangu katika mwaka wa fedha unaoendelea.
Lakini yule aliyenifanyia hujuma hiyo kwa sasa amefirisika kuna jambo alilifanya likamharibia mishe zake zote za pesa.

Wito wangu kwako,
1. Usidhamirie kukopa na kukimbia na deni, hapo unajinyima baraka kwenye biashara zako unazoenda kufanya.
2. 15M unayotaka kukopa sio hela nyingi sana kama na kuishi kwako kutategemea biashara hiyo hiyo. Lakini pia ni vema ukafanya kwanza biashara kwa kutumia sehemu ya mshahara wako ukaona mwelekeo wa biashara hiyo, kukopa kuje baadae na iwe ni kwa ajili ya kutop up kwenye biashara inayoendelea ambayo umeshaiona mwenendo wake.

Nakutakia kila lakheri katika kujikomboa kiuchumi
 
Acha mtia mtu woga , leo fundi viatu wenda anaingiza pesa mingi kuliko mfanyakazi ,

Ukiamua acha kazi cha muihimu kwanza panga wapi unaweza enda anzisha maisha mapya , nje ya wilaya au mkoa uliozoeleka , kule hata mizigo beba ili kupaata mtaji mengine utajua mbele ,acheni tisha watu Bwana
Haya ni maisha ya mtu bro kama ualimu ameshindwa generate mtaji hadi muda huu kwenye kubwba mizigo ndio atapata.
Kuna vitu vingine sii uoga bali nikutumia tu akili ya kawaida
 
Eti ni kweli maafande huwa mnafundishwa kuwa kuchukua rushwa ni kubambikia raia kesi ni jukumu lenu?
Rafiki nimefanya kazi mda mrefu kiasi, ila Moyo wangu haukuipata furaha niliyoihitaji Nikaamua kuitafuta Pengine, But for others I know not.
 
Naleta kwenu hili wadau naimani mtanishauri vyema. Nataka kucha kazi yangu ya ualimu niliyodumu nayo Kwa miaka mitano(5).

Sababu kubwa za kuacha kazi.
( 1) Nilicho kitegemea na nilichokikuta ni tofauti nimegundua (mtaani nilikuwa na tengeneza pesa nyingi kabla ya kuajiriwa)

(Ii)Nahitaji uhuru. ( Nashindwa kusimamia mambo yangu Kwa ubora unaotakiwa Kwa sababu ya kutokuwepo eneo husika).

(iii)Naamini sana katika uwezo wangu maana najijua Mimi ni mpambanaji.

CHANGAMOTO.
Naomba ushauri kwenu wadau, ukiwa na mkopo bank na ukaamua kuacha kazi ya ualimu baada ya kuacha kazi nini huwa kinafuata Kwa mwajili wako(serikali) na bank. Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhali.
Acha kazi kwanza
 
CHANGAMOTO.
Naomba ushauri kwenu wadau, ukiwa na mkopo bank na ukaamua kuacha kazi ya ualimu baada ya kuacha kazi nini huwa kinafuata Kwa mwajili wako(serikali) na bank. Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhali.
Jana niliona daladala imeandikwa '"USINISHAURI SANA UTANICHANGANYA" the same applies, unasema umeshafanya biashara "mambo" yako na yalikua yanakwendea "vizuri" sasa unataka ushauri Gani tena Ndugu? Nakuhakikishia UTACHANGANYWA maana kuna Watu humu wanaabudu ajira, hawa huwezi kuwaambia Lolote..... anyway the choice is yours!
 
Naleta kwenu hili wadau naimani mtanishauri vyema. Nataka kucha kazi yangu ya ualimu niliyodumu nayo Kwa miaka mitano(5).

Sababu kubwa za kuacha kazi.
( 1) Nilicho kitegemea na nilichokikuta ni tofauti nimegundua (mtaani nilikuwa na tengeneza pesa nyingi kabla ya kuajiriwa)

(Ii)Nahitaji uhuru. ( Nashindwa kusimamia mambo yangu Kwa ubora unaotakiwa Kwa sababu ya kutokuwepo eneo husika).

(iii)Naamini sana katika uwezo wangu maana najijua Mimi ni mpambanaji.

CHANGAMOTO.
Naomba ushauri kwenu wadau, ukiwa na mkopo bank na ukaamua kuacha kazi ya ualimu baada ya kuacha kazi nini huwa kinafuata Kwa mwajili wako(serikali) na bank. Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhali.
Tengeneza exit plan ya miaka miwili ijayo. Jipange hadi 2027 uwe umeshaacha kazi. Usikurupuke kijana. Kuacha kazi hasa ya serikali inahitaji timing kali sana unless uwe kweli una kipaji cha biashara na una nia ya dhati.
 
U
Naleta kwenu hili wadau naimani mtanishauri vyema. Nataka kucha kazi yangu ya ualimu niliyodumu nayo Kwa miaka mitano(5).

Sababu kubwa za kuacha kazi.
( 1) Nilicho kitegemea na nilichokikuta ni tofauti nimegundua (mtaani nilikuwa na tengeneza pesa nyingi kabla ya kuajiriwa)

(Ii)Nahitaji uhuru. ( Nashindwa kusimamia mambo yangu Kwa ubora unaotakiwa Kwa sababu ya kutokuwepo eneo husika).

(iii)Naamini sana katika uwezo wangu maana najijua Mimi ni mpambanaji.

CHANGAMOTO.
Naomba ushauri kwenu wadau, ukiwa na mkopo bank na ukaamua kuacha kazi ya ualimu baada ya kuacha kazi nini huwa kinafuata Kwa mwajili wako(serikali) na bank. Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhali.
 
Back
Top Bottom