Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

Usiache ajira hujajipanga ndugu utachaka hata pesa ya vocha itakukosa.
Ushauri jipange kwanza ukiwa kazini, biashara, kilimo etc ikishasimama vizuri ndio uachane na kazi.
Kumbuka kuna maelfu ya watu wanapambamia usiku na mchana hiyo kazi yako na bado wanakosa mtaani kugumu.
 
Ata mimi niliacha ajira ingawa ni sector binafsi

Mpaka sasa najitafuta kivyangu vyangu

Ila tu unapo toa roots zako sehemu kwenda kuzipanda sehemu nyingine

Huchukua muda sana kumea tena

Sijui umenielewa ndugu mtumishi wa umma???
 
Waswahili wanasema kama huna intergrity ukiwa umeajiriwa huwezi kujiajiri
100% True, atalielewa hili akifika huku mtaani. Labda kama ana ndoto za kupata laki laki za kula na sio kukua.

Japo anasema ana uzoefu ila bado hana uhalali wa kusepa na vibunda vya Bank.

Mtaani ukija ukiwa tayari una madeni ni ngumu sana kufanikiwa, maana hutaweza kuziamini zile hatua za ukuaji(process) kwakuwa tayari una mzigo wa madeni. Atashindwa kubalance pressure ya KUPATA na KUKOSA mentally.

Namsisitiza tena, atoke kwenye ajira aje mtaani akiwa CLEAN na alichojikusanya, kisha aanze kujipambania.

Mtu isipomfaa akili yake, utamdhuru Ujinga wake.
 
Usiache ajira hujajipanga ndugu utachaka hata pesa ya vocha itakukosa.
Ushauri jipange kwanza ukiwa kazini, biashara, kilimo etc ikishasimama vizuri ndio uachane na kazi.
Kumbuka kuna maelfu ya watu wanapambamia usiku na mchana hiyo kazi yako na bado wanakosa mtaani kugumu.
Nikweli,,
 
Ata mimi niliacha ajira ingawa ni sector binafsi

Mpaka sasa najitafuta kivyangu vyangu

Ila tu unapo toa roots zako sehemu kwenda kuzipanda sehemu nyingine

Huchukua muda sana kumea tena

Sijui umenielewa ndugu mtumishi wa umma???
Nikweli nimekusoma
 
Mimi nilikimbia maisha ya kiafande saivi nipo huru, eti kufuata order 😏😏😏 Mimi napenda Amani kuliko Fedha
Eti ni kweli maafande huwa mnafundishwa kuwa kuchukua rushwa ni kubambikia raia kesi ni jukumu lenu?
 
Kiongozi;
Nakushauri kama kaka yako; badala ya kuacha kazi, tumia huo mshahara wako kuajiri mtu wa kusimamia kazi zako za shamba; hadi upate mtaji wa kueleweka na ulipe deni unalodaiwa Ili ukiamua kuacha hata kama ni baada ya miaka mitano mingine... kwanza unakuwa na mtaji wa kueleweka na unakuwa hudaiwi.

Najua kwa sasa unakatwa karibia nusu ya mshahara kulipa deni ndio sababu unakata tamaa....ILA bora kukomaa hivyo hivyo......kilimo cha kwetu ni kigumu sana hasa kwa sababu ya kutegemea mvua..... masoko ya kuunga unga hasa ukiwa na mtaji mdogo......
 
Naleta kwenu hili wadau naimani mtanishauri vyema. Nataka kucha kazi yangu ya ualimu niliyodumu nayo Kwa miaka mitano(5).

Sababu kubwa za kuacha kazi.
( 1) Nilicho kitegemea na nilichokikuta ni tofauti nimegundua (mtaani nilikuwa na tengeneza pesa nyingi kabla ya kuajiriwa)

(Ii)Nahitaji uhuru. ( Nashindwa kusimamia mambo yangu Kwa ubora unaotakiwa Kwa sababu ya kutokuwepo eneo husika).

(iii)Naamini sana katika uwezo wangu maana najijua Mimi ni mpambanaji.

CHANGAMOTO.
Naomba ushauri kwenu wadau, ukiwa na mkopo bank na ukaamua kuacha kazi ya ualimu baada ya kuacha kazi nini huwa kinafuata Kwa mwajili wako(serikali) na bank. Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhali.
NATO wakikusikia umekwisha ajira ni mateso kama sio ujinga

Mtu basic salary inaweza kuwa 1.6 mfano ila anachoendanacho kwa mwezi nyumbani laki 9, uyu mtu ukiangalia salary slip yake utashangaa , makato ya kodi, sijui viduduasha gani , nchi ipo na wizi sana aisee kwa wafanyakazi
 
Kiongozi;
Nakushauri kama kaka yako; badala ya kuacha kazi, tumia huo mshahara wako kuajiri mtu wa kusimamia kazi zako za shamba; hadi upate mtaji wa kueleweka na ulipe deni unalodaiwa Ili ukiamua kuacha hata kama ni baada ya miaka mitano mingine... kwanza unakuwa na mtaji wa kueleweka na unakuwa hudaiwi.

Najua kwa sasa unakatwa karibia nusu ya mshahara kulipa deni ndio sababu unakata tamaa....ILA bora kukomaa hivyo hivyo......kilimo cha kwetu ni kigumu sana hasa kwa sababu ya kutegemea mvua...... masoko ya kuunga unga hasa ukiwa na mtaji mdogo.....
Sidaiwi chochote bro, nimeweka sawa kuwa natamani kukopa afu ndo nitembee na sitaki kuanzia kufuatilia et mafao naona yatanitoa kwenye focus nataka nikitoka nimetoka naenda kwenye ku implement project zangu
 
NATO wakikusikia umekwisha ajira ni mateso kama sio ujinga

Mtu basic salary inaweza kuwa 1.6 mfano ila anachoendanacho kwa mwezi nyumbani laki 9, uyu mtu ukiangalia salary slip yake utashangaa , makato ya kodi, sijui viduduasha gani , nchi ipo na wizi sana aisee kwa wafanyakazi
🤣🤣🤣
 
Mwalimu maliza kwanza kulipa mkopo ndo uache kazi usije juta mara saba
 
Mwalimu maliza kwanza kulipa mkopo ndo uache kazi usije juta mara saba
 
Asante mkuu! Fursa niliyoiona Mimi nikilimo na nimekuwa nikilimo na nimekuwa nikilima tangu naajiriwa so natamani kwenda kufanya Bora zaidi.
Karibu mtaani. Huku ,ustaarabu unaweka kando.
Ubunifu, adabu, kujituma, kutokata tamaa, na kutokua na tamaa na uvumilivu ndio msingi, vinakaa mbele.
All the best
 
Nafikiri nchi hii ,mfanyakazi ndo wanakomolewa kwa kodi, na takataka zingine ambazo hazina tija kwenye makato yao ukiondoa bima ya afya ambayo ni muhim plus uchangiaji wa mifuko.

Mtu anaelipwa m3 kwa mwezi kodi sio chini ya laki tano, lakini bado uyu mfanyakazi analipa kodi kwenye biashara yake ndogo, kwenye mafuta, na kilq aina ya huduma anayopata.


So mshahara wa mfanyakazi unatozwa kodi sio chini ya mara 20 kwa mwezi ila wafanyakazi huwa hawajui hili.

Mbunge akatwi kodi pamoja na malipo yake makubwa .

Kwa kifupi mfanyakazi wa serikali ni mwendawazim aliechangamka
 
Nafikiri nchi hii ,mfanyakazi ndo wanakomolewa kwa kodi, na takataka zingine ambazo hazina tija kwenye makato yao ukiondoa bima ya afya ambayo ni muhim plus uchangiaji wa mifuko.

Mtu anaelipwa m3 kwa mwezi kodi sio chini ya laki tano, lakini bado uyu mfanyakazi analipa kodi kwenye biashara yake ndogo, kwenye mafuta, na kilq aina ya huduma anayopata.


So mshahara wa mfanyakazi unatozwa kodi sio chini ya mara 20 kwa mwezi ila wafanyakazi huwa hawajui hili.

Mbunge akatwi kodi pamoja na malipo yake makubwa .

Kwa kifupi mfanyakazi wa serikali ni mwendawazim aliechangamka
🤣🤣🤣 Asante Kwa kusema ukweli!!! Mfanyakazi ndo analipia Kodi kuliko mtu yeyote Tanzania na Hana kwakukwepea
 
Back
Top Bottom