Nimechoka kufuatwa pm na wanawake wa JamiiForums

Hii tabia inakera sasa kwa siku nafuatwa na wanawake 6 mpaka 10 huku pm, wengi wao wanaomba mahusiano na mimi mwizukulu mgikuru a.k.a babu...nimechoka kutongozwa na akina beesmom.
Depal Umemsikia huyu mwanakilindi?

Mnamsumbua PM anadai😀😀😀😀😀
 
Hongera Sana Mkuu ,wengine miaka 12 ndani ya JF lakini hatujawai kufuatwa PM na wanawake tupe mbinu mkuu.
 
walete tukusaidie huo ni ubinafsi,kizuri kula na wenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…