much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
36m lakini najiona ni masikini sana tofauti na mleta mada anavuojiona Yuko vizuriunatengeneza shs ngapi kwa mwaka??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
36m lakini najiona ni masikini sana tofauti na mleta mada anavuojiona Yuko vizuriunatengeneza shs ngapi kwa mwaka??
kwahiyo wewe ni jirani yake KSI na the sidemen😅Interrogation hiyo 😄
Sasa kama unasomesha na kulisha ukoo wako mzima? Lazima uone hela haikutoshi36m lakini najiona ni masikini sana tofauti na mleta mada anavuojiona Yuko vizuri
mvunja barafu nipe hata uchawa basi😅Karibu tokomae na box mkuu,fuata nafsi nako inataka nini.
Hizi ndo shughuli sasa za watoto wa mjini,unakaa mwezi mzima unasubiri 2m alaa hiyo pesa ya mshindo mmoja tu,tunaposema dalali wasidhani kutafutia watu vyumba hapanaNdo mana mimi Udalali siachi japo mtaani wanainiita TAPELI
Hao waimbaji wa kizazi kipyakwahiyo wewe ni jirani yake KSI na the sidemen😅
Wakiona unapendeza wanakuita TapeliHizi ndo shughuli sasa za watoto wa mjini,unakaa mwezi mzima unasubiri 2m alaa hiyo pesa ya mshindo mmoja tu,tunaposema dalali wasidhani kutafutia watu vyumba hapana
hahaa, the beatles😅Hao waimbaji wa kizazi kipya
Mimi ni old geezer
Haya lipia tangazo naona kabisa huu mtego, hii ndoano imerushwa si ajabu mtu akanasa[emoji23] maana nikiwaza lengo la kuweka 2m+ basic na usawa huu, si unataka DM ifurike??
Watu wa jf mna mitego [emoji2960]
Haya tumeelewa tangazo bana..
basic ya 2m, wakikuchinja statutory deduction bado unabaki na maokoto
Tusubirie piem totoo
Yaani vijana mna bahati sana kwa sasa maana unaweza kuwa na hela ndefu kama una simu tu 😄hahaa, the beatles😅
inshallah namimi nitafika nataka niwe youtuber kama KSI
kweli we much knowYaani unalipwa 24m per year unajiita una kazi nzuri ?
Huwa siielewi hii kubeba mabox. Kubeba mabox maana yake nini?Unataka ukabebe box ulaya?
Punguza makasiriko. . .Ndo uache ushamba,kama ni ndoano kwann nisirushe maeneo mengine nirushe humu jf? Wewe kwa akili yako fupi,mademu wapo jf tu au sio?