Nimechoka kuishi Bongo

Nimechoka kuishi Bongo

Haya lipia tangazo naona kabisa huu mtego, hii ndoano imerushwa si ajabu mtu akanasa[emoji23] maana nikiwaza lengo la kuweka 2m+ basic na usawa huu, si unataka DM ifurike??

Ndo uache ushamba,kama ni ndoano kwann nisirushe maeneo mengine nirushe humu jf? Wewe kwa akili yako fupi,mademu wapo jf tu au sio?
 
hahaa, the beatles😅

inshallah namimi nitafika nataka niwe youtuber kama KSI
Yaani vijana mna bahati sana kwa sasa maana unaweza kuwa na hela ndefu kama una simu tu 😄
Sisi tunawasaidia watoto wafikie malengo wanayotaka
Mwanangu mmoja anafanya Dropshipping nilim boost kidogo na sasa yuko vizuri ila mimi mzee sasa huwa naitikia tu sijui kinachoendelea 😄
Natoa ushauri na misaada kwa wanangu na kucheza na wajukuu tu
 
ungeainisha hyo kazi au biashara ambayo inakupa kipato kizuri hivyo.....
 
Back
Top Bottom