Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
Duh watu wa mitumba kazi wanayoYeye ni bikra au?
Jamaa alichokikuta Honeymoon hana furaha kabisa...
Tumeozesha majuzi tu Sasa leo tunamwuliza bwana Harusi vipi honeymoon umeserereka mpaka mwisho? Ila jamaa hana furaha kabisa Ametutumia picha hii TikTok - Make Your Daywww.jamiiforums.com
HA!HA!HA Ndoa ngumu sana siku hiziJamaa alichokikuta Honeymoon hana furaha kabisa...
Tumeozesha majuzi tu Sasa leo tunamwuliza bwana Harusi vipi honeymoon umeserereka mpaka mwisho? Ila jamaa hana furaha kabisa Ametutumia picha hii TikTok - Make Your Daywww.jamiiforums.com
Ai wewe, acha roho mbaya msaidie mwenzioApambane tu na hali yake
Kwahiyo hapa ndo Upo serious au?
HahahahaKesho nisindikize kwenye hiyo ofisi tafadhali
Hata sijuiHivi hawa mashangazi wana uhusiano gani na yule wakitaifa
NjmechekaKama majanga mengine yaliyowahi kuikumba nchi hii kama surua, ndui, kipindupindu na corona... Mashangazi ni janga jingine liloikumba nchi hii kwa lugha ya majanga wanaitwa Single Mother.
Duh watu wa mitumba kazi wanayo
HA!HA!HA Ndoa ngumu sana siku hizi
Bikra ninayo mwaka wa 68 sasaMoney Penny nimejikuta nakupenda tu, hata kama sio bikra ila nimekupenda dear
Money Penny nimejikuta nakupenda tu, hata kama sio bikra ila nimekupenda dear
Mimi Me wewe je?Bikra ninayo mwaka wa 68 sasa
Hahahahaha,
Wewe ni Me au Ke?
Njoo inbox nikupe namba yangu ya whatsapp tuyajenge
Umenikumbusha dada mmoja nilimsumbukia 2010 akanichomolea akaja kupewa mimba na njemba moja ikamchomolea kipindi kile najitafuta.. leo hii ni mshangazi ananishobokea amesahau alivyonitenda .. malipo ni hapa hapa duniani.Wanawake wakiwa kwenye 20s mwanzoni wanakuwa na nyodo za kikuda sana na matokeo yake ni majuto. Mwanaume anaweza oa akiwa na miaka 50 na kuanzisha familia fresh kabisa ila mwanamke akishavuka 30 years huwa ni majuto matupu. Mabinti wadogo muwe makini.
Ndio wakati wao wa kujidai bro waacheWanawake wakiwa kwenye 20s mwanzoni wanakuwa na nyodo za kikuda sana na matokeo yake ni majuto. Mwanaume anaweza oa akiwa na miaka 50 na kuanzisha familia fresh kabisa ila mwanamke akishavuka 30 years huwa ni majuto matupu. Mabinti wadogo muwe makini.
Umenikumbusha dada mmoja nilimsumbukia 2010 akanichomolea akaja kupewa mimba na njemba moja ikamchomolea kipindi kile najitafuta.. leo hii ni mshangazi ananishobokea amesahau alivyonitenda .. malipo ni hapa hapa duniani.
Lini?Ungekua size yangu wewe ...π€π€
ni muhimu zaid kuwasaidia hao mabinti ulowaskia wakinung"unika kwa kuchoka kuitwa mishangazi, ili kuepuka vijana wawatu wasitapeliwe na hiyo kitu ya kuitwa honeymoon ambayo si muhimu sana nyakati hizi.Jamaa alichokikuta Honeymoon hana furaha kabisa...
Tumeozesha majuzi tu Sasa leo tunamwuliza bwana Harusi vipi honeymoon umeserereka mpaka mwisho? Ila jamaa hana furaha kabisa Ametutumia picha hii TikTok - Make Your Daywww.jamiiforums.com