Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
James Bond wa kike ? Aisee Dunia inaenda kasi ....wamuite James Delicious tujue mojaJamaani My twin
Huyo wa mwisho anakuwa new James Bond
Imagine!
Love the photo ooo
Alafu hii post yako unawasingizia wengine nina taarifa za kiinterejensiaMbona aliekataliwa ana kitambi jamaan
Hata me ningekataa
Chance ni nyingi sana ila ni jobless....sasa kulea umaskini wangu na wa mwingine ni kibarua kigumu sana.Ni kheri upweke usio na stressNingempa pole na kusisitiza asipuuze chance zinazokuja
Upweke ni mbaya sana
……nutEh,
Nyie watoto acheni kumsumbua Mungu jamaan
Leo nimekaa kwenye lounge ya ofisi moja mjini, naskia wadada wawili wanaongea kwa kutiana moyo
Maongezi ya mmoja yalikuwa hivi,
"Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume please 🙏 "
Nilitaka kumjibu lakini user yangu ikawa imefika
Wewe ungekuwa Mungu, ungemsaidiaje Mshangazi aliechoka kuitwa Mshangazi?
Basi hakuna tatizo hapo, at some point kila mtu ataitwa bibi,babu,mzee e.t.c Issue ni kuwa wakati hayo yanafika uwe na furaha na amani, na fedha za kujimudu basi.Upweke sio shida
Shida kuitwa MSHANGAZI
WOI
nakataliwaje kwamfano my Lady?
handsome akili kubwa, kiongozi na mtumishi wa wananchi anakataliwa kweli?
ni katika kuokoa jahazi tu, ama my Lady umefurahia hali hiyo ya huzuni na mfadhaiko ya hao ma ladies kulilia na kutamani magentleman wa kuwatuliza, na kwahivyo huhitaji mapendekezo yoyote ya wadau kushirikiana nawe mtoa hoja walau kuwasitiri na kuwaonyesha njia, right?🐒
Yeye ni bikra au?Kama sio bikra usioe
Wanaomba kutafutiwa mume sababu mnawazonga tonga mabinti wa watu na maswali ya utaolewa lini?i mean wakiwa mabinti wanauliza namba yangu umepata wapi wakizeeka wanaomba kutafutiwa mume yani mambo ni mengi
Hivi Mshangazi katika familia ni anajurikana kama nani upande
Au kwasabab ana shida Atanitafut kwa wakat wake😀
Hahahaaa......kashakuwa bwawa ndio anatafuta wa kupwelepweshaSasa kama alikuwa anaringa kipindi wanaume wanamfuata Mungu hata hasikilizi maombi ya watu kama hao.
Mwambie hivi kuna dogo anaitwa Poor Brain anapenda sana loose balls.
HajazeekaKipindi bado pisi kali alikuwa anachagua wanaume kama maembe sokoni,leo hii kachoka mix kuzeeka anamsumbua MUNGU
Hahahaaa......kashakuwa bwawa ndio anatafuta wa kupwelepwesha
Wanaume tumekubaliana hatusomi magazeti ya jioni
maana yameshashikwa shikwa na wengi
ova
Na Yesuusichana wake alichezea na nan et?
😂😂😂😂😂 Daah alafu manyanza mi ntakutafuta wewe.. tukukamate tukupige
Kwanini?Wengine "ushangazi " wanajitakia wenyewe.