Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume tafadhali

Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume tafadhali

Wewe huwezi kuolewa
wanawake miaka 18-27 wanaringa sana, ni wanawake ambao kwenye mahusiano huwa hawajali, kwasababu huwa wanajiona bado, na vikali vya "mimi ni kama daladala akishuka mtu anapanda mtu" wanakuwa chagua chagua sana, hata kanisani au misikitini nadra sana kuwakuta wakiwa serious, umri ukipita hapo ndio akili zinarejea, akifika 35 atataka mwanaume yeyote bila kuchagua dini, kabila, urefu au ufupi, elimu, hapo vigezo vinabak viwili awe anapumua na awe na shughuli yoyote ya kumpatia kipato. Zingatia neno yoyote
 
Ningekua Mungu ningemjibu kwa maandiko, Ulimwenguni mnayo dhiki lakini jipeni Moyo
Sarai mkewe Ibrahimu alipata mtoto akiwa bibi kizee 😂
Kwahiyo na yeye asubiri akiwa mzee
Wakati watu miaka 60 wanakata moto?
 
wanawake miaka 18-27 wanaringa sana, ni wanawake ambao kwenye mahusiano huwa hawajali, kwasababu huwa wanajiona bado, na vikali vya "mimi ni kama daladala akishuka mtu anapanda mtu" wanakuwa chagua chagua sana, hata kanisani au misikitini nadra sana kuwakuta wakiwa serious, umri ukipita hapo ndio akili zinarejea, akifika 35 atataka mwanaume yeyote bila kuchagua dini, kabila, urefu au ufupi, elimu, hapo vigezo vinabak viwili awe anapumua na awe na shughuli yoyote ya kumpatia kipato. Zingatia neno yoyote
 
Bro pole
Naona ulikataliwa ulipopenda
nakataliwaje kwamfano my Lady?

handsome akili kubwa, kiongozi na mtumishi wa wananchi anakataliwa kweli?

ni katika kuokoa jahazi tu, ama my Lady umefurahia hali hiyo ya huzuni na mfadhaiko ya hao ma ladies kulilia na kutamani magentleman wa kuwatuliza, na kwahivyo huhitaji mapendekezo yoyote ya wadau kushirikiana nawe mtoa hoja walau kuwasitiri na kuwaonyesha njia, right?🐒
 
Eh,
Nyie watoto acheni kumsumbua Mungu jamaan

Leo nimekaa kwenye lounge ya ofisi moja mjini, naskia wadada wawili wanaongea kwa kutiana moyo

Maongezi ya mmoja yalikuwa hivi,

"Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume please 🙏 "

Nilitaka kumjibu lakini user yangu ikawa imefika

Wewe ungekuwa Mungu, ungemsaidiaje Mshangazi aliechoka kuitwa Mshangazi?
usichana wake alichezea na nan et?
 
Back
Top Bottom