Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
Weka namba hapa nimpempatie namb yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka namba hapa nimpempatie namb yangu
Ningempa pole na kusisitiza asipuuze chance zinazokuja
Upweke ni mbaya sana
Wewe una mume?
Naomba mawasiliano yake
Sasa kama alikuwa anaringa kipindi wanaume wanamfuata Mungu hata hasikilizi maombi ya watu kama hao.
Mwambie hivi kuna dogo anaitwa Poor Brain anapenda sana loose balls.
ID yako nyingine hii hapa
Basi akatae kuitwa shangazi tatizo litaisha
Ninge mpa pole, maana enzi alikuwa anawaka, anachagua wanaume alikuwa hamkumbuki Mungu, akomae tu na hicho cheo cha Mshangazi
Ningekuwa Mungu ningemfunulia picha hii ya reaction jinsi alivyomkataa kwa nyodo mwanaume niliyemtuma awe mumewe akamkataa hapo jamaa akifarijiwa na watu wa nyumbani kwake View attachment 3143614
mpatie namb yangu
Fanya hapa hapa bwana!Njoo inbox
Hapo Sasa niunganishe nae tuyajenge huenda project ikazaa matundaWahuni hawaachi kuita mpaka aolewe
wanawake miaka 18-27 wanaringa sana, ni wanawake ambao kwenye mahusiano huwa hawajali, kwasababu huwa wanajiona bado, na vikali vya "mimi ni kama daladala akishuka mtu anapanda mtu" wanakuwa chagua chagua sana, hata kanisani au misikitini nadra sana kuwakuta wakiwa serious, umri ukipita hapo ndio akili zinarejea, akifika 35 atataka mwanaume yeyote bila kuchagua dini, kabila, urefu au ufupi, elimu, hapo vigezo vinabak viwili awe anapumua na awe na shughuli yoyote ya kumpatia kipato. Zingatia neno yoyoteWe umejuaje alikuwa anakataa watu jamaa?
Umejuaje kama alikuea haombi Mungu?
Anaonekana ni mwombaji, asingetaja Mungu though
Ñjoo pm mara moja plz,Eh,
Nyie watoto acheni kumsumbua Mungu jamaan
Leo nimekaa kwenye lounge ya ofisi moja mjini, naskia wadada wawili wanaongea kwa kutiana moyo
Maongezi ya mmoja yalikuwa hivi,
"Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume please 🙏 "
Nilitaka kumjibu lakini user yangu ikawa imefika
Wewe ungekuwa Mungu, ungemsaidiaje Mshangazi aliechoka kuitwa Mshangazi?
Weka namba yako hapaFanya hapa hapa bwana!
Mwenyezi mungu hana mda na mishangazi 🥴🥴Eh,
Nyie watoto acheni kumsumbua Mungu jamaan
Leo nimekaa kwenye lounge ya ofisi moja mjini, naskia wadada wawili wanaongea kwa kutiana moyo
Maongezi ya mmoja yalikuwa hivi,
"Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume please 🙏 "
Nilitaka kumjibu lakini user yangu ikawa imefika
Wewe ungekuwa Mungu, ungemsaidiaje Mshangazi aliechoka kuitwa Mshangazi?
Weka namba yako hapaHapo Sasa niunganishe nae tuyajenge huenda project ikazaa matunda
Ndefu sanawanawake miaka 18-27 wanaringa sana, ni wanawake ambao kwenye mahusiano huwa hawajali, kwasababu huwa wanajiona bado, na vikali vya "mimi ni kama daladala akishuka mtu anapanda mtu" wanakuwa chagua chagua sana, hata kanisani au misikitini nadra sana kuwakuta wakiwa serious, umri ukipita hapo ndio akili zinarejea, akifika 35 atataka mwanaume yeyote bila kuchagua dini, kabila, urefu au ufupi, elimu, hapo vigezo vinabak viwili awe anapumua na awe na shughuli yoyote ya kumpatia kipato. Zingatia neno yoyote
SawaWeka namba yako hapa
Bro poleÑjoo pm mara moja plz,
usidhani uko pekeyako, ni wengi mno wanateseka na hiyo songombingo,
unakuta binti anasalimiwa na kijana wa kiume, eti anamfyonza kanakwamba yeye ni mtakatifu sana kumbe hana mpango wowote, mbaya zaid akifika home anaanza kujuta kwanini hakuchukua namba za simu za kijana aliemfyonza kwa dharau, kisha matokeo yake binti anajichukulia sheria mkononi kwa maji moto au toy, dah wanatia huruma sana kama hao ulowaskia..
hebu fanya ñjoo pm tusaidiane plz my Lady 🐒
Mungu anapenda watu woteMwenyezi mungu hana mda na mishangazi 🥴🥴
Me nishaolewa miaka 48 iliopitaWewe huwezi kuolewa
HahahaWeka namba yako hapa