Kumbe hadi wanawake mnafanyiana hivi? pole sana kwanini usimshauri rafiki yako amwambie mwanaume wake wawe wana kwenda guest...?Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough
Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana
dAHH........huyu jamaa vipi?? mi nikajua weweWw imekuaje na avatar yangu
dAHH........huyu jamaa vipi?? mi nikajua wewe
Msalimie shunie
Itakuwa kakupenda bure, ila Kama hii Avatar Ni ww mtoto utakuwa Masha Allah umejaliwa
Hee! Huyu HR666 c alitangazia uma wa wana JF kuwa anatoka na Shunie? Sasa mbona Shunie anamkana hadharani?
sifungui nitakuja kwako kukusikiliza shida yakoFungua kidogo nikwambie den ufunge
Nakusibir fanya vyovyote tuwasiliane privatesifungui nitakuja kwako kukusikiliza shida yako
I like this!Unikomeeee
mapenzi tu haya shunieWw imekuaje na avatar yangu
Ndio shunie poozo la moyo wanguhivi ww ni mzima kweli kichwani mwako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]sitaki ndio nakwepa shida kama hizo za uyo chizi huyu sio mzima kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Daahh Jamiiforums haiishi vihoja.
Leo nimejikuta nacheka tu.
Mkuu tatizo kila siku ni mimi tu napigwa exiléHostel bila exile hainogi komaa tu ndy maisha ya chuo hayo
Mimi kidume mkuu hiyo avatar ya mke wangu shunieKumbe hadi wanawake mnafanyiana hivi? pole sana kwanini usimshauri rafiki yako amwambie mwanaume wake wawe wana kwenda guest...?
Nasubiri kiumbe changu kilichopo tumboni kwako mupenziuyo ni chizi sio mzima ila kuna anachokitafta
Unikomeeee sio mkeo mm wala haunijuiMimi kidume mkuu hiyo avatar ya mke wangu shunie
Avatar yangu imefanyaje mkuu?dah kati ya jamaaambae simuelew humu jamii forom ni huyu yaan sijui kwamba anasoma sijui hasomi yaan ilimradi a post..sasa angalia avatar yake.