Daaaa......!!! Umenikumbusha mbali sana chuo fulani Dodoma. Nilikuwa napigwa exile balaa. Adi ikabidi nipange chumba mitaaniHaya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough
Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana
Fungua anataka kukupa "DESA" jipya.. hahahsifungui nitakuja kwako kukusikiliza shida yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Fungua anataka kukupa "DESA" jipya.. hahah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ShunieeUnikomeeee
Unanicheka [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15][emoji23] [emoji23] [emoji23] Shuniee
ni utoto tu unamsumbua akikua ataacha[emoji23] [emoji23] [emoji23] Shuniee
Mapenzi unayonipani utoto tu unamsumbua akikua ataacha
Unapga msul chuo mpaka saa sita ya uck then unarud mabibo.. HAPO UMETUFUNGA KAMBA MKUUExile huwa haziepukiki kwenye maisha ya shule.
Nakumbuka nikiwa Mabibo Hostel nilipigwa sana Exile na wadau though ndio ilinifanya niwe napiga sana Msuli Chuo mpaka saa 6 usiku hivi ndio narudi hostel,yaani ilikuwa unatumiwa kabisa sms kuwa leo kuna tukio kiongozi😀😀😀
Baby achana naye huyu mjinga.Unikomeeee sio mkeo mm wala haunijui
[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]Baby achana naye huyu mjinga.
Hehehehehehe[emoji23] [emoji23] ni hatariMi wakati nipo masters udsm exile ilikuwa mchana,mtu haendi lecture,ukija unakuta tu chumba kinanukia maku
ndio mkuuUmejibebea chombo na avatar umebadili
Sasa wataka nifanyeniUnanicheka [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Jipange sasa exile huwa inatakiwa iwe win win situation ndy mtaheshiana bila hivyo utagombana sana na mate,Mkuu tatizo kila siku ni mimi tu napigwa exilé
Unapiga shuttle pori kutoka Coet hadi chuo cha maji mpaka barabarani(Sam Nujoma road)-hapo unatembea hadi ubungo mataa parking za Tanesco hapo kwenye mitambo ya symbion.Hapo kijana kuna daladala 24/7 za kwenda buguruni then huyo hadi Hostel.Unapga msul chuo mpaka saa sita ya uck then unarud mabibo.. HAPO UMETUFUNGA KAMBA MKUU