Nimechoka kupokea wageni

Ugomvi hauta isha
 
Shemeji tunakuja wiki ijayo tutarudi nyumbani mwezi wa 7 wewe jiandae na hatutaki madagaa na maugali ya kila siku.

Ahaaaaaa sijui nimecheka nini ila kwetu ndugu wa mwanamke hawazululi kwa mkwe , akienda ni kwa nadra sana.

Mleta mada mke wake ni msukuma familiya nzima wanahamia kwa mkwe ila ndo upendo wenyewe.
 
Nchi ngumu Sana hii
 
You stole my words.
How could you? See you in court πŸ™‚
 
we jamaa bana., perheps tuna perspective tofauti lakini , ndugu ni baraka. Pengine Lizki yao ipo kwako. the moment wanakata nayo inakata.... wafurahie tu.
 
Shida n kwamba unakaaa mwanza unao na shughuli zako zipo shinyanga nauli shy-mwanza afu 7 lazima waje kugombania ukoko Olea mbali unaolea songea unakaa shinyanga nauli tu elfu 80k nani aje akiwa anakuj ajipange kwa nauli utapunguza hizo kero

Mbili lazima uwe na voice of command anakuj mdog wangu kunisalimia no kma umemiss nikupe nauli ukamsalimie

Tatu wew unawez ukawa unapambn familia yako ile vizuri wanawake wanatabia ya kuonyesha kwa ndugu zao kuwa wameolewa mahali safi sometime snaps za misosi zinawek status sas wakij wagenii badili meals ya mlo achan na vitu vizuri kbsaa utakuja kuniambiaaa
 
we jamaa bana., perheps tuna perspective tofauti lakini , ndugu ni baraka. Pengine Lizki yao ipo kwako. the moment wanakata nayo inakata.... wafurahie tu.
Wew wasema ikukute usichukulie pw pesa akun siku iz
 
Acha ubinafsi hata wewe ulisaidiwa ukafika hapo
 
Nataman niwanywee pombe
Ha haa umenikumbusha kaka (cousin) yangu mmoja aliwafanyia hivyo shemegi zake.

Yeye alikuwa ni mpiga maji mzuri sasa kila siku akirudi nyumbani kumejaa wageni mashemegi. Matokeo watoto wanalala ukumbini na mashemegi wanajitanafasi chumba cha watoto. Nyumba zenyewe za Dar vyumba viwili.

Siku moja aliamua kwenda kuuchapa vizuri na alipofika nyumbani mlangoni alianza kuwashambulia kwa maneno makali, kwa nini hawakai makwao kwa waume zao au wazee wao wanakuja pale kumjazia nyumba. Wale mashemegi walichukia sana na siku ya pili walifunga virago kurudi makwao.

Mke wake pia alijifanya kuchukia lakini alimwambia kama unaona mimi nimekosea na wewe funga virago uelekee kwenu, ikabidi mama anyamaze tu. Basi tokea siku hizo nyumba ile walikuwa wakiipisha kwa mbali sana.

Hii alinihadithia mwenyewe nikamuuliza kama alijisikia vibaya kwa kuwatimua mashemegi kivile. Aliniambia nilikuwa sina jinsi bajeti ilikuwa haitoshi tena ikabidi nijitoe akili ili mambo yangu yaende.
 
Hii ndio raha ya kuishi katikati ya mji. Kwa sie tunaojenga Chanika, mpaka mgeni afike Pugu, tayari anakuwa kesha ahirisha safari ya kufika nyumbani kwako πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
UKweni wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…