Nimechoka kupokea wageni

Nimechoka kupokea wageni

Hellow Africa

Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.

Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.

Ukiona hivyo, basi ktk ndugu wako na mkeo, ww ndio una maisha mazuri walau... Ila nashangaa kwanini unalalamika hivyo, mwanaume jitume tu bana, waje wale, walale, wapatie na nauli kidogo na matumizi wakiondoka sio mbaya.
 
Kuna wengine watakunafkia hapa kujifanya wema sana ila kiukhalisia kwenye familia zao hata mgeni hakanyagi..!!

Ishi kulingana na budget iliyo ndani ya uwezo wako usitumie nguvu kubwa sana kuwafurahisha watu huku unateseka (mshumaa),

Habari mbaya ni kuwa at the end of the day baada ya kuwa hu-save wala kufanya maendeleo yoyote wewe ndiye utaonekana looser, hakuna mtu atakumbuka kile uli sacrifice kwa ajili yao..!! Shauri yako..!!

Mac Alpho
 
Hellow Africa

Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.

Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Aseee hii tabia iliwahi kumtokea mdogo wangu. Dogo ni mfanyakazi na anapenda sana kulima, alinunua mashamba makubwa, hivyo alivyoona wanazidi akaanzisha utaratibu wa kulima, wakija anawaacha kama siku mbili baada ya hapo asubuhi anawaamsha kwenda shamba. Alooo! Kundi la kwanza lililokutana na Hali hiyo ya shamba walienda kuwataarifu wenzao, mpaka Leo ndugu huwa hawaji kwa Dogo bila sababu maalumu.
 
Hellow Africa

Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.

Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
kama una mbwa fungulia
 
Hellow Africa

Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.

Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Mkeo Ni Msambaa tu
 
Unaweza ukawa hauko hv unavyotusimulia hpa lkn watu wa hv wapo
 
Mitazamo tofauti mi naona ni baraka kama mwanaume basi pambana na ishi ndani ya bajeti yako...Kila kitu kina baraka zake kama huamini katika kukirimu mgeni badi watimue ..
 
Mke wako alipaswa aolewe na mtu kama mchungaji kidogo wangeendana, mambo ya wageni kila saaa
 
Back
Top Bottom