Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hellow Africa
Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.
Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Hi ni kiboko haswa😂😂😂Nunua gunia la mahindi na maharage weka ndani,
Nunua magogo magumu weka hapo nje na shoka kali
Wakija wapasue kuni halafu ni ugali maharage kila siku, wataondoka wenyewe
Aseee hii tabia iliwahi kumtokea mdogo wangu. Dogo ni mfanyakazi na anapenda sana kulima, alinunua mashamba makubwa, hivyo alivyoona wanazidi akaanzisha utaratibu wa kulima, wakija anawaacha kama siku mbili baada ya hapo asubuhi anawaamsha kwenda shamba. Alooo! Kundi la kwanza lililokutana na Hali hiyo ya shamba walienda kuwataarifu wenzao, mpaka Leo ndugu huwa hawaji kwa Dogo bila sababu maalumu.Hellow Africa
Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.
Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Hapa aanzishe kilimo tu, wakija waende shamba, nakwambia hatokuja aone wanakuja [emoji23][emoji23][emoji23]Wachane live tu
Kama una cash jenga chumba kingine nje wakifika wafikie huko, wanunulie groceries wajipikie huko
kama una mbwa funguliaHellow Africa
Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.
Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Mkeo Ni Msambaa tuHellow Africa
Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.
Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
😂😂Acha masimango familia sio yako ileHatimae mtoto nae ana mtoto
Sawa mkuu😂😂Acha masimango familia sio yako ile
We jamaa roho mbaya unaijuaNunua gunia la mahindi na maharage weka ndani,
Nunua magogo magumu weka hapo nje na shoka kali
Wakija wapasue kuni halafu ni ugali maharage kila siku, wataondoka wenyewe
We madame, ushauri gani huo?Simple Anza kusifia hao wageni wa kike kinoma noma
Hawatakuja tena
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hii ID inaongoza kwa kubadili AvatarMwandiko umekaa kama upo kwa Shemeji, isije kuwa ni wewe ndio unagombania ukoko na watoto wa dada yako.
Ukidiss ndugu zake kuja kwenu ujue hata ndugu zako hawatakanyaga kwako, wageni ni baraka kama ni wale wa kupita mbona hawana shida? Punguza ubinafsiAf ukimwambia ananuna