NAHAL
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 1,670
- 3,281
Yaani maamuzi ya nyumbani kwako,,kuyatoa hadi unywe pombe???Wewe bado ni kavulana kama ni Mwanaume basi utakuwa na akili za kivulana vulana!!!Nataman niwanywee pombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani maamuzi ya nyumbani kwako,,kuyatoa hadi unywe pombe???Wewe bado ni kavulana kama ni Mwanaume basi utakuwa na akili za kivulana vulana!!!Nataman niwanywee pombe
Aaah 3 mingi, nunua Shamba siku ya tatu tu jembeWagenii hatukatai tuelewane mgeni aje na purpose mgeni anajaaa miez 3 kwerie
Ndugu wa mke ni wazito hawabebekiThanks JF, maana kabla ya mitandao jamii iliaminisha ni wanawake hawapendi ndugu za mume, hawapendi watoto wa mume, hawapendi hiki na like vya mume, watu wanatoa personal experience sasa, hawasingiziwi.
ihii kibokoHakikisha hapo kwako kuna kazi za kutosha kama kuosha mabanda ya mifugo,kukata nyasi za mifugo,tafuta mashamba huko nje ya mji uwe unawapeleka kulima na kupanda
Okoka na muwe mnasali karibia masaa mawili kabla ya kwenda kulala iwe kila siku na lazima kila mtu awepo wakati wa kusali hata kama ni mgonjwa,tv weka chumban kwako,sebuleni liwepo sabufa la kupiga nyimbo za injili tu
Ukishindwa kabisa hayo yote,anza kuwala ndugu za mkeo kwa siri,ili ufaidi chakula chako
Fanya yote hayo afu unipe mrejesho
Ujakosea mkuuAnayenufaika na ndoa huwa ni mwanamke , ndugu zake wataendelea kujazana hapo , ila ndugu yako ww akija hapo akae wiki tuu au mwez , akirudi atasimulia , wanawake karbia wote wana roho mbaya mno kwa ndugu za mme, na hii wapo hvyo
Hakuna Cha roho mbaya hapo! Ukiendekeza watu wa namna hiyo maendeleo utayasikulizia kwa wengine tu!Acha roho mbayaaa kunguni
Ahahhah leo shetani kawa na busaraWageni baraka binafsi sipendi watu wa binafsi wacha waje
Huna pesa usioe
Mimi nishasema nazaliwa 2006😂 mtoto wa utotoni alafu wamwisho
Bilinganya lipi la mwalimu au?Wapikie biringanya hawakujui hao
Dah yaani mtu anakurupuka tu ukirudi home nyumba imejaa unashindwa ata kumpiga tako mkeoKaribisha na penda watu lakini kuwe na mipaka. Ndugu wasiojitambua ni kuwachana live tu.
Kabisa kaka yaani kuna muda unatamani utembe na boksa humo ndani na mkeo chupi ila inashindikana wageni kama uwanja wa taifaHii kali kwakweli.. Pole mno! Wanaokubeza acha tu wakubeze hayajawakuta
Ahahahhahah noma sanaAmna kitu kina kera kama Nyumba muda wote ipo bize kama guest House.
Mimi ukija kwangu kama ni liability nina kufukuza!
Ahahhaahah umejuaje wanatokea nyamagana 😂😂Wakija tangaza kuanza mfungo hakuna kula Hadi mfungue ..mtu akishinda na njaa siku mbili atarudi kwao nyamagana
Ahahahhahah et kwa shemeji ahahahah ila kwa shemeji kutamu sanaMwandiko umekaa kama upo kwa Shemeji, isije kuwa ni wewe ndio unagombania ukoko na watoto wa dada yako.