Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamati ya roho Mbaya[emoji28][emoji28][emoji28][emoji134]Nunua gunia la mahindi na maharage weka ndani,
Nunua magogo magumu weka hapo nje na shoka kali
Wakija wapasue kuni halafu ni ugali maharage kila siku, wataondoka wenyewe
Daah hii Kalii aisee[emoji28]Ishi kutokana na Bajeti na Utaratibu uliojiwekea.
Ndio maana wazee wetu walikuwa na Miradi kama Mashamba, Mifugo, Bustani nk. Ilikuwa ndugu wakifika kwake basi baada ya siku mbili tu, anawageuza wafanyakazi wa miradi yake. Na kutokana na Uvivu wengi waliondoka mapema sana na taarifa wakapeana.
Be a Man, Stay Taliban.
😂😂Simple Anza kusifia hao wageni wa kike kinoma noma
Hawatakuja tena
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Niambie bibieJohnnie walker
Hiyo ya kuokoka tu lzm watu wapoteane! 😂Hakikisha hapo kwako kuna kazi za kutosha kama kuosha mabanda ya mifugo,kukata nyasi za mifugo,tafuta mashamba huko nje ya mji uwe unawapeleka kulima na kupanda
Okoka na muwe mnasali karibia masaa mawili kabla ya kwenda kulala iwe kila siku na lazima kila mtu awepo wakati wa kusali hata kama ni mgonjwa,tv weka chumban kwako,sebuleni liwepo sabufa la kupiga nyimbo za injili tu
Ukishindwa kabisa hayo yote,anza kuwala ndugu za mkeo kwa siri,ili ufaidi chakula chako
Fanya yote hayo afu unipe mrejesho
Labda aokoke kimchongo kama mchungaji mashimo😂Kama umeokoka hayo yote huwezi fanya
Utakuwa mchaga hivo ni asili yenu roho mbayaAmna kitu kina kera kama Nyumba muda wote ipo bize kama guest House.
Mimi ukija kwangu kama ni liability nina kufukuza!
Sasa mshana ukipika makande daily si inabidi na wewe uyale Kila siku? Au au kitakua kinaandaliwa chakula special Cha baba wa mji😂Makande bila maharage wala chumvi daily
Hapo sasa😅Kwanza atuambie huyo mke kaoa lini