Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Huko kama huna nyota na hio ishu kutoboa ngumu bila ushirikina na hata ukiwa na hio nyota inabidi kujilinda watu wakikusoma wanaweza wakakuvuruga waipate wao hio nyota mgodi uteme ndo maana kwa wachimbaji wadogo ndumba nje nje maana kuna wenye nyota inabidi wajilinde na kuna wale ambao hawana lazima watoe kafara mambo yaende, huko kunahitaji maamuzi magumu
 
Million 40 kwa biashara nyingine ni mtaji mkubwa sana na una uhakika wa hela kila siku

Ukiona unatumia uchawi kwenye biashara tambua unalazamisha kuwa hio sehemu sio sehemu yako
Hio ni kweli ,nyota yako kama inaendana na hio shughuli mambo yanajipa labda kama umechezewa, ila kama huna nyota ya hio shughuli kutoboa lazima uibe nyota za wengine, wanasema kafara ila ndo unakua unaiba nyota ya mwingine, we unaenda kwa mganga unatoa kafara yeye anakupa nyota ya mtu ambae keshamvuruga huko au kamuua kabisa
 
Mkuu,
Kama karasha unalo na mtaji upo nakusihi tafuta wenyeji wakupe ramani uanze kuchimba duara lako,au kama utashindwa kuchimbisha anza kununua mawe.

Ukiona huna uenyeji wa kutathimini mawe nakushauri anza kwa kununua fero mali ambayo inaweza kua inarudisha hata robo3 ya gharama na iwe inasoma ppm kuanzia 2.0.

Achana na utalaamu wa kwenye madaftari mkuu, ukija uku kwenye uhalisia kuna vitu tofauti kabisa.
 
Acha kutengeneza njia za kutapeli watu. Freemason sisi tunaifahamu miaka mingi ago. Ungekuwa ushirikina ndo unawalipa hao wazungu wangekuwa hawana haja ya kununua vifaa ghali wanavyotumia ku detect yalipo madini. Wewe ni tapeli unataka kumtapeli jamaa.
 
Mkuu mimi niliwahi kuingia huko nikapigwq 50 million iliniumaa sana hapo iringa sadani
Sasa ikaniuma nikapiga hesabu narudishaje mzigo wangu nikajuaga wachimbaje wanatafuta sana zile gold detector kumbe.... nikaagiza china pc 100 ...moja nilinunua laki tano nikawa nauza million moja na laki mbili faida laki saba ....

Aseee niliuza zikaisha baada miezi minne nikawa na kama million 40 ....zingine zilibaki....nikaachana na hiyo biashara😄😄😄

Dhahabu ni biashara ya utalaam wa hali ya juu...... ila bahati pia ....hakuna uchawi huko utapigwa

Waliofanikiwa huko wamekaa muda mrefu na uvumilivu hiyo biashara fanya huku una biashara nyingine sio ya kutegemea kulisha familia itakuua presha
 
Kuna namna umetupanga hapa

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
 
Sio rahisi kama unavyovikiri mkuu,

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
 
Vidono muhimu si umeona umefika Ujiji kitu kimejipa umepanda cheo. Fanya haraka unioe kipenzi tuwe tunawanga pamoja

Hii umeongea kiutani ila imenipa hisia kali sana!! Kuna watu tunawaona mijini wanatamba ila siri ya wayafanyayo wanayo wawili tu (mke na mume), ndiyo raha ya kufanana.

Haya, sie tumeoana mie kwa waganga we mlokole!! Vitagongana tu, hamtoboi kamwe!!

Aminia kipenzi!! Tutawanga kinoma ila kama hatupati utajiri wa kufikia kununua Boeing "zetu" private kuloga sitaki!!!
 

You have panicked. Just because i have alerted the guy to be careful. Now i see i was right. You are just a fucken scammer and you aint gonna get nothing coz i have just exposed you. Now go get some milk to calm yourself down. 😁
 
Sio rahisi kama unavyovikiri mkuu,

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
Siyo navyofikiri, nakushauri hivo kwa uzoefu me mwenyewe ni mpambanaji mwenzio nipo uku geita napambana na sijawahi kuua kiasi hicho cha fedha.

Na mtaji wangu si zaidi ya milion 30, Siwezi kuacha hii kazi maana siifanyi kwa matarajio makubwa zaidi ya kutafuta faida inayokidhi mahitaji yangu mpk itakapofika bahati yangu(kuhila).

Na apa napoandika nipo elution nategemea kushusha leo na matarajio yng ni gram 500 tu.

Punguza matarajio makubwa mkuu na kila anaekushauri apa usidhani amekaa dukani au ofisini, wengine tupo apo ulipo acha ubishi chukua kinachokufaa kisichokufaa acha.
 
Gram 500 ni ndogo mkuu?

Ukitaraji gram 500 ukapata gram 150 utarudisha gharama?
Hicho ndo kinatukuta wenzio,

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…