Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Nnakubaliana na wewe mkuu, niko tayari ila sio kutoa mtu
 
Mtu anaongelea makarasha wewe unakuja na mambo za vipimo..huyo anapima sample tu za mawe sasa hicho kifaa yeye cha nn maabara mbona kibao?? Ushauri wa kumpa huyo sio huo.
 


Achana na hiyo biashara ya kuuza nafsi.
 
Hamna kwani alivyokufa Yesu kuna sehemu Mungu alimtoa tena mtoto wake? Ww fanya nilivyokwambia km kweli unataka mgodi uteme
Nilivyosikia mimi ukianza kutoa, itabidi uwe unatoa,

Kuna pahala nilisikia kuwa kuna hiyo dawa moja inaitwa NGEKEWA hii kila utakachogusa ni hela tu ila sasa kila mwaka inakula mtu mmoja, inachagua yenyewe wewe utashangaa mtu kadondoka mara mzazi, rafiki, ndugu, mfanyakazi
 
Gharama ya utajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…