spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Sawa mkuu ila kwa tunachokipokea uwa tunakipangia bajeti ya mwezi Mzima sasa mwezi umetisha tangu tumelipwa so it means tumeishiwa kabisaa sasa tunaishije? Waingize mzigo wetu kwa utaratibu tuliozoeaNi simple logic ya mshahara wa mwezi kulipwa mara baada ya mwezi huo kuisha.
Mshahara wa mwezi wa June, kimantiki, hauwezi kusemwa kwamba umechelewa, ikiwa mwezi huo bado haujaisha.
Ukikipwa pesa kabla ya kufanya kazi katika muktadha wa mshahara, hiyo ni advance ya mshahara, si mshahara.
Ni pesa ambayo unaweza kunyang'anywa ikiwa hujamaliza hiyo kazi.
Huo ulienda kwenye kusherekea sikukuu na mazaga mengine kama posho za safari nk huu unaokuja ndio wa kwenu sasa kwahiyo tulia mkuu au unacheza vikoba?IMF si wametema juzi tuu
Kwani tarehe 30 June Imepita?Poleni kwa majukumu wakuu!!
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada..
Leo ni tar24 lakini mpaka sasa (17:58 hrs) mishahara ya watumishi wa serikali haijatoka. Hali hii sio ya kawaida na inatupa hofu kidogo juu ya serikali yetu pendwa chini ya mama Samia, hivyo sisi tusio na access na taarifa za habari tunaomba kufahamishwa kama kuna taarifa yoyote juu ya hili, maana unaweza ukapuuzia kumbe kuna tangazo la kupokea mishahara dirishani (cash in hand) limetolewa na hujalipata.
NB: Hadi sasa watumishi tumetumika mwezi Mzima bila kulipa, from May 24 to June 23..
Asalam Alaikum..
Uhakika unafanyika tar24π£Haya subiria haki yako iko palepale tunapitia na kuhakiki taarifa zenu za kupanda madaraja
Wanasikilizia mchongoSerekale kuna hela inasikilizia
Ukimlipa mtu tarehe 22 mwezi May mwisho wa mwezi kwake ni June 21 hadi 22. Ukizidisha hapo unakuwa umemtumikisha zaidi ya mwezi bila malipo.Kama hamkubaliani na Reforms na Rebuilding mfateni alipo, mnangoja nini?
Awamu hii ishasema mwisho wa mwezi uwe mwisho wa mwezi kweli. Ni nini msichoelewa hapo? Mshahara ni mwisho wa mwezi siyo kati ya mwezi.
Mshahara tukikubaliana ulipwe kila baada ya siku thelathini, let say kuanzia siku ile unayoanza kazi, basi hii hesabu yako ya tarehe 1 kila mwezi itakufa automatically.Ni simple logic ya mshahara wa mwezi kulipwa mara baada ya mwezi huo kuisha.
Mshahara wa mwezi wa June, kimantiki, hauwezi kusemwa kwamba umechelewa, ikiwa mwezi huo bado haujaisha.
Ukikipwa pesa kabla ya kufanya kazi katika muktadha wa mshahara, hiyo ni advance ya mshahara, si mshahara.
Ni pesa ambayo unaweza kunyang'anywa ikiwa hujamaliza hiyo kazi.
Ndio wale wajuaji wasiojua standing order inasemaje kuhusu credibility ya mtumishi kulipwa.Ni Sheria gani hii mkuu? Umequote kutoka wapi
Labda anafanya kazi kwa mhindi.Acha uongo mbona kijana wangu kaenda kuchukua mshahara muda huu.angalia kupitia simbanking
ππππππMkuu mpe ata buku jirani yako umuokoeππππππ ndo mana leo jirani yangu karud kanyong'onyea
si anasemaga sisi bodaboda mbupu muda ote znavibrate kisa kukaa kwenye tanki
π£ DohMwezi Juni haujaisha.
Subirini tufunge hesabu za mwaka wa fedha 2023/2024.
Tutasugua sana gagaHuo ulienda kwenye kusherekea sikukuu na mazaga mengine kama posho za safari nk huu unakuja ndio wa kwenu sasa kwahiyo tulia mkuu au unacheza vikoba?
Mshahara unaoudai ni wa mwezi gani?Sawa mkuu ila kwa tunachokipokea uwa tunakipangia bajeti ya mwezi Mzima sasa mwezi umetisha tangu tumelipwa so it means tumeishiwa kabisaa sasa tunaishije? Waingize mzigo wetu kwa utaratibu tuliozoea
Mwezi umetisha tangu wamelipa, watuingizie helaaKwani tarehe 30 June Imepita?
tulieni kwanza tunaweka sawa mipango ya daftari ya uchaguzi na uchaguziPoint of correction mzigo wa May uliingia tar 21. Leo June ni tar 24 inamaana Mwezi umeisha bila mzigo kuingia.