Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikimwambia nimetoa kwenye akiba anakuwa mzito kurudisha kwa hiyo akiba yangu haisogei.Kumbe ndo huwa unamfanyia ndugu yangu hivi , ngoja nitamshutua
Sijasomeshwa na walimu waliosomea ujinga hata siku moja.Wewe Bibi waheshimu Walimu waliokutoa ujinga.i
Kama mshahara ni wa mwezi June, obligation ya serikali kulipa mshahara inaanza baada ya mwezi kuisha.Favour kivipi ikiwa mfanyakazi anakuwa amefanya kazi kwa 30 days?!
Hata kama ukisema wanajiwahi wenyewe, huko kujiwahi si kunafika baada ya siku thelathini? sasa hapo favour inakuja vipi?
Kama ni suala la favour, basi huko kujiwahi kwao wafanye after 20 days mfanyakazi apate chake.
Nyie walimu mtaendelea kusubiri kidogo..tunapewa kwanza watu wenye umuhimu katika taifa hiliUwe serious vinginevyo matusi loading....
Mshahara tuwape mnafanya kazi gani ya kulilia kodi zetuHivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa
From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!
Bullshit!!!!!!!!!!
Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
Kwanza hata Kingereza huelewi, bitrthday ni siku aliyozaliwa, kama alhamisi ndiyo itakuwa birthday yake. Unaongelea birthday au birthdate? Fikiri japo kiduchu.Mtoto wako aliyezaliwa march 22 anajaza mwaka/birthday yake ni lini?
Iulize hiyo serikali mara ya mwisho ililipa mshahara tarehe ngapi ya mwezi uliopita? ukipata jibu utuambie hiyo "obligation" yako inatokea wapi kama sio utapeli.Kama mshahara ni wa mwezi June, obligation ya serikali kulipa mshahara inaanza baada ya mwezi kuisha.
Mwezi haujaisha.
Serikali haina obligation ya kulipa mshahara wa mwezi ambao bado haijaisha.
Ukibisha weka mkataba wa kazi au standing order ya serikali kutoka kwa katibu mkuu utumishi iki validate madai yako.
Mwaka wa fedha unaanza tarehe 01/07 na kuisha tarehe 30/06.Kwa uelewa wako mdogo umekalisha mbupu zako hapo unawaza mwisho wa mwezi ni lazima iwe tarehe 30. Serikali imelipa mishahara ya mwezi Mei 2024 tarehe 21, maana yake kufika tarehe 21 Juni 2024 tayari tumeshatumikia mwezi wa kulipwa! Kitendo cha hadi tarehe 24 Leo mshahara haujatoka ni sabotage kwa watumishi. Hivi unajua hata mwaka wa fedha wa serikali unaanzaga mwezi gani na kuisha mwezi gani we maamuma?
Wacha kulalamika kipoyoyo, mwisho wa mwezi bado haujafika. nenda tu kamfahamishe mangi mwenye grocery atakuelewa.Hivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa
From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!
Bullshit!!!!!!!!!!
Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
Kwa akili hizi huyu atakuwa wale wa TGOSUnalipwa TGS ipi mkuu?
Kwa nini mwaka wa fedha wa serikali hauanzi tarehe moja ya mwezi wa kwanza na kuisha 31 disemba kama ilivyo kawaida? Mwaka na miezi ya fedha ya serikali ni tofauti na tunavyohesabu kawaida. Watu wakifanya kazi siku 30 wanastahili kulipwa.Mwaka wa fedha unaanza tarehe 01/07 na kuisha tarehe 30/06.
Kwa nini hauanzi tarehe 22 .
Hiyo ya kulipwa mshahara tarehe 22 ni favour tu na sio haki yako kulipwa tarehe hiyo.
Ingetakiwa ukiwa mtu makini hiyo fedha uanze kuitumia kuanzia tarehe 01 mwezi unaofuata
Hili taifa lina baadhi ya watumishi ni wajinga na hawajitambui na kwa akili hizi mtaendelea kuwa watumwa wa kusubiri mishahara ndio msurvive.
Embu jiongezeni bana mnatia aibu ebo yaani mtu mzima kabisa unalalamikia mshahara wakati mwisho wa mwezi haujafika stupid asshole mkubwa wewe
Labda wewe ndo hujaelewaSiku tatu kabla zipi, nahisi na wewe hujui ulichokiandika.
Tarehe ya mwisho kulipwa mshahara, as long as ililipwa kabla ya mwisho wa huo mwezi, ni irrelevant katika mazungumzo ya mshahara wa mwezi huu.Iulize hiyo serikali mara ya mwisho ililipa mshahara tarehe ngapi ya mwezi uliopita? ukipata jibu utuambie hiyo "obligation" yako inatokea wapi kama sio utapeli.
Elimu yako tafadhari? Mpaka sasa wafanyakazi waliopokea mshahara 21/5/2024 je leo ni siku ya ngapi?Ingekuwa mwezi umekwisha angekuwa na haki ya kupigania sasa hata mwezi haujaisha.
Ninavyojua mimi mishahara serikalini inatolewa on monthly basis on arrears
Kwamba unafanya kazi kwanza ndio unakuja kulipwa mwisho wa mwezi
Mwaka wa fedha unaanza tarehe 01/07 na kuisha tarehe 30/06.
Kwa nini hauanzi tarehe 22 .
Hiyo ya kulipwa mshahara tarehe 22 ni favour tu na sio haki yako kulipwa tarehe hiyo.
Ingetakiwa ukiwa mtu makini hiyo fedha uanze kuitumia kuanzia tarehe 01 mwezi unaofuata
Hili taifa lina baadhi ya watumishi ni wajinga na hawajitambui na kwa akili hizi mtaendelea kuwa watumwa wa kusubiri mishahara ndio msurvive.
Embu jiongezeni bana mnatia aibu ebo yaani mtu mzima kabisa unalalamikia mshahara wakati mwisho wa mwezi haujafika stupid asshole mkubwa wewe