Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

Kwani mkataba wako unaonyesha inapaswa ulipwe tarehe 24 net?
 
Mkataba wako ulionyesha utalipwa tarehe ngapi?




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Favour kivipi ikiwa mfanyakazi anakuwa amefanya kazi kwa 30 days?!

Hata kama ukisema wanajiwahi wenyewe, huko kujiwahi si kunafika baada ya siku thelathini? sasa hapo favour inakuja vipi?

Kama ni suala la favour, basi huko kujiwahi kwao wafanye after 20 days mfanyakazi apate chake.
Kama mshahara ni wa mwezi June, obligation ya serikali kulipa mshahara inaanza baada ya mwezi kuisha.

Mwezi haujaisha.

Serikali haina obligation ya kulipa mshahara wa mwezi ambao bado haujaisha.

Ukibisha weka mkataba wa kazi au standing order ya serikali kutoka kwa katibu mkuu utumishi iki validate madai yako.
 
Hivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa

From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!

Bullshit!!!!!!!!!!

Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
Mshahara tuwape mnafanya kazi gani ya kulilia kodi zetu
 
Mtoto wako aliyezaliwa march 22 anajaza mwaka/birthday yake ni lini?
Kwanza hata Kingereza huelewi, bitrthday ni siku aliyozaliwa, kama alhamisi ndiyo itakuwa birthday yake. Unaongelea birthday au birthdate? Fikiri japo kiduchu.

Mimi nasherehekea birhday yangu kwa kumcha na kumshukuru Allah kila siku yangu ya kuzaliwa ikifika, kumbiuka, siyo tarehe ya kuzaliwa.

Huo wa kugeuziwa birthday ikawa birthdate ndiyo ujinga mliosomea, mimi sina huo.
 
Kama mshahara ni wa mwezi June, obligation ya serikali kulipa mshahara inaanza baada ya mwezi kuisha.

Mwezi haujaisha.

Serikali haina obligation ya kulipa mshahara wa mwezi ambao bado haijaisha.

Ukibisha weka mkataba wa kazi au standing order ya serikali kutoka kwa katibu mkuu utumishi iki validate madai yako.
Iulize hiyo serikali mara ya mwisho ililipa mshahara tarehe ngapi ya mwezi uliopita? ukipata jibu utuambie hiyo "obligation" yako inatokea wapi kama sio utapeli.
 
Kwa uelewa wako mdogo umekalisha mbupu zako hapo unawaza mwisho wa mwezi ni lazima iwe tarehe 30. Serikali imelipa mishahara ya mwezi Mei 2024 tarehe 21, maana yake kufika tarehe 21 Juni 2024 tayari tumeshatumikia mwezi wa kulipwa! Kitendo cha hadi tarehe 24 Leo mshahara haujatoka ni sabotage kwa watumishi. Hivi unajua hata mwaka wa fedha wa serikali unaanzaga mwezi gani na kuisha mwezi gani we maamuma?
Mwaka wa fedha unaanza tarehe 01/07 na kuisha tarehe 30/06.
Unaanza Mwanzo wa mwezi na kuisha Mwisho wa mwezi na sio tarehe 22
Kwa nini hauanzi tarehe 22 .
Hiyo ya kulipwa mshahara tarehe 22 ni favour tu na sio haki yako kulipwa tarehe hiyo.
Ingetakiwa ukiwa mtu makini hiyo fedha uanze kuitumia kuanzia tarehe 01 mwezi unaofuata
Hili taifa lina baadhi ya watumishi ni wajinga na hawajitambui na kwa akili hizi mtaendelea kuwa watumwa wa kusubiri mishahara ndio msurvive.
Embu jiongezeni bana mnatia aibu ebo yaani mtu mzima kabisa unalalamikia mshahara wakati mwisho wa mwezi haujafika stupid asshole mkubwa wewe
 
Hivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa

From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!

Bullshit!!!!!!!!!!

Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
Wacha kulalamika kipoyoyo, mwisho wa mwezi bado haujafika. nenda tu kamfahamishe mangi mwenye grocery atakuelewa.
 
Mwaka wa fedha unaanza tarehe 01/07 na kuisha tarehe 30/06.
Kwa nini hauanzi tarehe 22 .
Hiyo ya kulipwa mshahara tarehe 22 ni favour tu na sio haki yako kulipwa tarehe hiyo.
Ingetakiwa ukiwa mtu makini hiyo fedha uanze kuitumia kuanzia tarehe 01 mwezi unaofuata
Hili taifa lina baadhi ya watumishi ni wajinga na hawajitambui na kwa akili hizi mtaendelea kuwa watumwa wa kusubiri mishahara ndio msurvive.
Embu jiongezeni bana mnatia aibu ebo yaani mtu mzima kabisa unalalamikia mshahara wakati mwisho wa mwezi haujafika stupid asshole mkubwa wewe
Kwa nini mwaka wa fedha wa serikali hauanzi tarehe moja ya mwezi wa kwanza na kuisha 31 disemba kama ilivyo kawaida? Mwaka na miezi ya fedha ya serikali ni tofauti na tunavyohesabu kawaida. Watu wakifanya kazi siku 30 wanastahili kulipwa.
 
Iulize hiyo serikali mara ya mwisho ililipa mshahara tarehe ngapi ya mwezi uliopita? ukipata jibu utuambie hiyo "obligation" yako inatokea wapi kama sio utapeli.
Tarehe ya mwisho kulipwa mshahara, as long as ililipwa kabla ya mwisho wa huo mwezi, ni irrelevant katika mazungumzo ya mshahara wa mwezi huu.
 
Ingekuwa mwezi umekwisha angekuwa na haki ya kupigania sasa hata mwezi haujaisha.
Ninavyojua mimi mishahara serikalini inatolewa on monthly basis on arrears
Kwamba unafanya kazi kwanza ndio unakuja kulipwa mwisho wa mwezi
Elimu yako tafadhari? Mpaka sasa wafanyakazi waliopokea mshahara 21/5/2024 je leo ni siku ya ngapi?
 
Mwaka wa fedha unaanza tarehe 01/07 na kuisha tarehe 30/06.
Kwa nini hauanzi tarehe 22 .
Hiyo ya kulipwa mshahara tarehe 22 ni favour tu na sio haki yako kulipwa tarehe hiyo.
Ingetakiwa ukiwa mtu makini hiyo fedha uanze kuitumia kuanzia tarehe 01 mwezi unaofuata
Hili taifa lina baadhi ya watumishi ni wajinga na hawajitambui na kwa akili hizi mtaendelea kuwa watumwa wa kusubiri mishahara ndio msurvive.
Embu jiongezeni bana mnatia aibu ebo yaani mtu mzima kabisa unalalamikia mshahara wakati mwisho wa mwezi haujafika stupid asshole mkubwa wewe
IMG-20240624-WA0011.jpg
unawaza upinde tu, burudika mkuu.
 
Back
Top Bottom