Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Ni utani kaka Kiranga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni utani kaka Kiranga
Nani amkumbuke huyu fedhuri aliyekuwa anatupa kauli za dharau kila anapopata nafasi? Eti niache kujenga stiglers niwaongeze mshahara, niache kujenga SGR niwaongeze mshahara as if nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma ni hisani. Nyongeza ya mshahara ipo kisheria, basi usipotaka kutimiza wajibu wako kwa kuwaongeza mshahara basi usiwape maneno ya kadhia. Mimi nashukuru toka ame kick the bucket mshahara wangu umeongezeķa maratatu na posho kadhaa zimekuja. Kuchelewa kwa mshahara hakuondoi favor tulizozipata kwa huyu mama wa kizimkazi.Watumishi wa umma meshaanza kumkumbuka Jiwe? Kuna nyakati alikuwa akilipa mishahara yenu mpaka tarehe 19.
Vipi zama hizi? Maana naona vilio ni vingi huku.
PIA SOMA
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
- Serikali imechelewesha mishahara au haina pesa?
Ndogo?Mshahara wenyewe laki tano
Wewe vyeti feki..tunakujua vizuri.Nani amkumbuke huyu fedhuri aliyekuwa anatupa kauli za dharau kila anapopata nafasi? Eti niache kujenga stiglers niwaongeze mshahara, niache kujenga SGR niwaongeze mshahara as if nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma ni hisani. Nyongeza ya mshahara ipo kisheria, basi usipotaka kutimiza wajibu wako kwa kuwaongeza mshahara basi usiwape maneno ya kadhia. Mimi nashukuru toka ame kick the bucket mshahara wangu umeongezeķa maratatu na posho kadhaa zimekuja. Kuchelewa kwa mshahara hakuondoi favor tulizozipata kwa huyu mama wa kizimkazi.
Laki tano mwezi mzima inatoshaje na familiaNdogo?
Majobless wakilalamika kuhusu ajira Huwa mnawatukana Kuwa ni wavivu wajiajiri sasa mbona mshahara kuchelewa kidogo tu mnalalamika nadhani pia huu ni wkt wenu wa kujiajiriHivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa
From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!
Bullshit!!!!!!!!!!
Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
==========
Ufafanuzi kuhusu Mishahara ya Mwezi June
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
Kwani watumishi wa umma wote ni wafundishaji? Wengine tunakata umeme, wwngine tunakata maji, wengine tunakata mtandao, wengine tunafuatilia majina halisi ya ID zenu za bandia, wengine tunakusanya kodi na wengine tunaandaa malipo ya hiyo hiyo mishahara iliyochelewaPoleni sana kama vipi gomeni msiende kufundisha.
kwani nimesema wote ni wafundishaji?Kwani watumishi wa umma wote ni wafundishaji? Wengine tunakata umeme, wwngine tunakata maji, wengine tunakata mtandao, wengine tunafuatilia majina halisi ya ID zenu za bandia, wengine tunakusanya kodi na wengine tunaandaa malipo ya hiyo hiyo mishahara iliyochelewa
Inategemea na private.Wewe unafanya kazi ka kampuni kakimasikini unatarajia nini.Private wakati mwingine tarehe 5 mwezi mwingine *****..
Kumbe tabia zinaridhishwa huyu mpare kuna kaka yake miaka ya mwanzo ya tisini alikuwa waziri mkuu akatoa kauli ya kejeli kama hii kila mtu abebe mzigo wake.Kumbe uko hopeless kiasi hiki?
Kwanini usitumie busara Kama Mshana Jr ?
Hakika umeliangusha taifa la wapare kwa kauli careless Kama hii.
Yeah, tunalipwa kila mwezi ingawa hatufanyi kazi kila mwezi. Kuna likizo ya siku 28 kwa mwaka na ina nauli ya mtumishi, mwenza wake, watoto wake na mizigo kila baada ya mwaka mmoja, kuna kwenda semina ambayo nayo ina malipo walau 60,000/= kwa siku ndani ya mkoa na 150,000/= kwa siku ukitoka nje ya mkoa hata kama Kibaha au Bagamoyo kutoka Dar inayoambatana na local transport sh. 30,000/= kila siku, kuna malipo unapoondokewa na mtegemezi wako (mwenza, wazazi, watoto) ikwa pamoja na usafiri wa coaster iwapo utahitaji kusafirisha popote, lakini pia kuna malipo ambayo nikiandika hapa walipa kodi wataandamanaKumbe kuna watu mna lipwa kila mwezi
Sijajua labda ulivyoandika hivi katika uzi huu ulimaanisha nini:kwani nimesema wote ni wafundishaji?
Poleni sana kama vipi gomeni msiende kufundisha.
Kumbe bado hatuelewani tu!Kwani wapi nimesema ni kosa?
Mshahara wa June, siku 30 za June hazijamalizika, unasemaje wafanyakazi wamefanya kazi kwa siku 30?
umri mkubwa lakini uwezo wako wa kufikiria ni mdogo, no wonder ni mtumishi wa serikali.Sijajua labda ulivyoandika hivi katika uzi huu ulimaanisha nini:
Kulipa mshahara wa May kabla ya tarehe moja June si makosa.Kumbe bado hatuelewani tu!
Serikali yenyewe ilikuwa hailipi mshahara tarehe moja, hilo sio kosa la wafanyakazi. Hapa hakuna maana ukisema siku hazijamazika za mwezi June.
Tuelewane.