Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

Niliona bandiko humu kuwa sasa utakuwa unatoka kati ya 28-30 ya kila mwezi
Tatizo sio kutoka Tarehe 28 kila mwezi tatizo ni je utakuwa ni kila mwezi tarehe hiyo 28??

Watu wanacholalamika ni Kuwa Mshahara wa Mwezi uliopita Ulikuwa Tarehe 21 May vipi wa June umechelewa mpaka zaidi ya Tarehe 24..

Kwa maana hiyo tarehe 22 ilikuwa ni siku ya 31 na tarehe 23 ni mwezi mwingine maana ni siku ya 32 na tarehe 24 ni siku ya 33 Tangu mshahara wa nyuma.
 
Hivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa

From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!

Bullshit!!!!!!!!!!

Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa

Hivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa

From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!

Bullshit!!!!!!!!!!

Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
bi ushungi ni kiburi sana...nchi ishamshinda
 
Ingekuwa mwezi umekwisha angekuwa na haki ya kupigania sasa hata mwezi haujaisha.
Ninavyojua mimi mishahara serikalini inatolewa on monthly basis on arrears
Kwamba unafanya kazi kwanza ndio unakuja kulipwa mwisho wa mwezi
Ukilipwa tarehe 5, mpaka tarehe 5 mwezi umeisha,
Kwahiyo tarehe 22 mpaka tarehe 22 mwezi umeisha.
Imeishia la ngapi?
 
Hivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa

From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!

Bullshit!!!!!!!!!!

Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
Wewe ni miongoni mwa wakunga wapumbavu kabisa! Badala ya kupigania haki ya
1. Kikokotoo
2. Maslahi kwa wafanyakazi
3. Mazingira maziri ya kazi
4. Mishahara tosherevu
............
Do kwanza unapigania haki ya kupewa hicho kimshahara chako kilichojas mikopo.
Eti mpaka unawaita wezako hawajitambui??

Ama kweli hata kichaa huwa hajifahamu kuwa ni kichaa.
 
Hivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa

From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!

Bullshit!!!!!!!!!!

Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
Kuna taasis zimeshazoea hii hali, nyie wapya mnaona mpya. Until watumishi mtakapo amka usingizini na kuwa wamoja until then Pole na karibu kwenye reality show
 
Back
Top Bottom