Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Kumbe uko hopeless kiasi hiki?Acheni kazi
Kwanini usitumie busara Kama Mshana Jr ?
Hakika umeliangusha taifa la wapare kwa kauli careless Kama hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe uko hopeless kiasi hiki?Acheni kazi
Mwezi umeshakwisha Na tayari tupo Tarehe 3 ya mwezi mwingine wa kiserikaliIngekuwa mwezi umekwisha angekuwa na haki ya kupigania sasa hata mwezi haujaisha.
Ninavyojua mimi mishahara serikalini inatolewa on monthly basis on arrears
Kwamba unafanya kazi kwanza ndio unakuja kulipwa mwisho wa mwezi
Kama mnaona mnachofanyiwa sio sawa, kwann msiache kazi?Kumbe uko hopeless kiasi hiki?
Kwanini usitumie busara Kama Mshana Jr ?
Hakika umeliangusha taifa la wapare kwa kauli careless Kama hii.
Tarehe 28 hadi tarehe 30Hivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa
From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!
Bullshit!!!!!!!!!!
Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
No longer at easyThings fall spart
Uwezo wako wa kufikiria ni mdogo sana.. Hivi kumbe Toka ulivyofeli mtihani wa darasa la nne hukutaka tena kusikia neno SHULE...Povu la nini mkuu...kwani ni mimi ndie nimefanya mshahara wako uchelewe???
Things fall apart, the center can not hold. Mere anarchy is loosed upon the world. The blood dimmed tide is loosed and everywhere the ceremony of innocence is drowned.Things fall spart
Ukiambiwa jiajiri achana na mambo ya ajira za kitumwa hutak,,,,,,,wenzako asubuh tar1 jioni tar30Hivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa
From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!
Bullshit!!!!!!!!!!
Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
Sisi walimu tuna shida sana,, kudadadeki nikiingia darasani ni mwendo wa imla na kusoma kimya kimya hadi mshahara utoke!Poleni sana kama vipi gomeni msiende kufundisha.
Ndio nilifeli na sikutaka kusoma tena, Vpi wewe uliefaulu na ukasoma mpaka University una nini cha maana zaidi ya huo mshahara wako wa 500k per month...???Uwezo wako wa kufikiria ni mdogo sana.. Hivi kumbe Toka ulivyofeli mtihani wa darasa la nne hukutaka tena kusikia neno SHULE...
Mwezi unaanza tarehe 01 na unamalizika tarehe 31 au 30 au 28 kwa mwezi wa february.Ukilipwa tarehe 5, mpaka tarehe 5 mwezi umeisha,
Kwahiyo tarehe 22 mpaka tarehe 22 mwezi umeisha.
Imeishia la ngapi?
Sawa, unachosema ni sahihi ni lazima kusevuMwezi unaanza tarehe 01 na unamalizika tarehe 31 au 30 au 28 kwa mwezi wa february.
Utakuwa hujaenda shule wewe au embu angalia kalenda kama unayo inaonyesha mwezi unaanza lini na unaisha lini.
Kwa hiyo wewe kwa mfano wako huo kutoka tarehe 05 mwezi 05 hadi 05/06 unaweza kabisa kwa shule uliyosoma ukathibitisha kwamba huo ni mwezi wa 05 umekamilika?
Tatizo ni mazoea mabaya ya kutokulipwa mishahara tarehe stahili nakushauri jijengee mazoea kama unategemea huo mshahara panga bajeti vizuri ya mshahara ikitokea mshahara mmelipwa kabla ya mwisho wa mwezi wewe uache ikifika tarehe 01 mwezi unaofuata ndio uanze kutumia.
Kuna jamaa yangu nilimuona zuzu sana walilipwa mishahara sijui tarehe 22 kulikuwa na sikukuu gani sijui akatumia hela hovyo kwenye sikukuu kufika mwisho wa mwezi hana kitu
Unastahili kulipwa mshahra baada ya siku ya 30 ya mwezi uliofanya kazi.Hivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa
From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!
Bullshit!!!!!!!!!!
Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
Cha maana ni hizo 500k. Kwa mwezi nachakata K 500Ndio nilifeli na sikutaka kusoma tena, Vpi wewe uliefaulu na ukasoma mpaka University una nini cha maana zaidi ya huo mshahara wako wa 500k per month...???
Poa poa mwanangu,,, nikutakie jioni njemaCha maana ni hizo 500k. Kwa mwezi nachakata K 500
Nimecheka kijinga sana , serikali ipo na mazalau sana kwa watumishi wa umma , unapitishaje mda wa kulipa mishahara yao ,Usitoke tu mamee mnatuibia mademu zetu