Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya sio majibu ya MTANZANIA MkuuKama mnaona mnachofanyiwa sio sawa, kwann msiache kazi?
Kila Meimosi kauli ni ile ile kuongezewa mishahara, kwann msiache kazi mana mnachofanyiwa sio haki yenu?
Hv unajua n watu wangapi nje wanatamani kuwa hapo ulipo kwa huo huo mshahara wako?
Very Good.Samahani kuingilia Kesi ila nahisi wewe Ndo hufahamu..
Serikali inamifumo yake ya Kiutaratibu ya Utendaji kazi..
Ikiwemo Tarehe, Mwezi na mwaka..
MWezi wa serikali kwa mwaka 2023/2024 Tangu June 2023...
Ulianza Tarehe 24 mpaka tarehe 23.. ya Kila mwezi..
Na mwaka wa Serikali Huanza (July 1 ni mwanzo wa mwaka) mpaka june tarehe 30 (Ambayo ni mwisho wa Mwaka)..
January sio mwanzo wa Mwaka Kiserikali japo Kijamii january ni mwezi wa mwanzo au Mwanzoni mwa mwezi kiserikali..
Vivo hivyo Tarehe 21 mpaka tarehe 23 Ni mwisho wa Mwezi kiserikali....
Kiserkali (upande wa Mishahara) Tarehe 30 sio mwisho wa mwezi ila Terehe 30 ni siku ya Kufunga hesabu za mwezi..
Watumishi toka mwaka huu wa 2023/2024 na miaka mingine ya Nyuma Umeanza wamekuwa Wakipokea Mshahara tarehe 21 mpaka 23..
Hivyo kuvuka Tarehe 23 Huesabika ni siku zaidi ya 30 za Kiutumishi (Kama utapiga hesabu vizuri)..
Kwa siku ya Leo ni Tarehe 1 Ya mwezi Mwingine yaani siku ya 32 ya mwezi mwingine japo kulimgama na mwezi uliopita Mshahara uliingia Tarehe 21 kwahyo keo ni Tarehe 33 Tangu wapokee Mshaahara..
Nadhani utakuwa umenielewa
Kazi sana kueleimisha kenge ambazo hazipo kwenye payroll ya serikali, mtu kama upo private usituletee experience zako acha watoto wa mama kizimkazi tupambane na hali zetu. Kama ulinilipa 21 kwanini mwezi unaofata unachelewa hadi 24 mshahara hakuna.Mwezi umeshakwisha Na tayari tupo Tarehe 3 ya mwezi mwingine wa kiserikali
Ukipenda boga penda na ua lakeKama hamkubaliani na Reforms na Rebuilding mfateni alipo, mnangoja nini?
Awamu hii ishasema mwisho wa mwezi uwe mwisho wa mwezi kweli. Ni nini msichoelewa hapo? Mshahara ni mwisho wa mwezi siyo kati ya mwezi.
Tatizo la nchi hii ni ujuaji mkuu, sisi ndio tunatumia standing order tunajua kwanini tunadai malipo ya mshahara anatokea boda boda anadai mwezi una siku 30. Hawajui kazi za umma Zina sheria, kanuni, miongozo na taratibu zake.mjumbe, kasome katiba ya watumishi na mkataba wa kazi, kuanzia siku ya 15 mfanya kazi anaweza kulipwa malipo yake ya mwez
Sory mkuuHaya sio majibu ya MTANZANIA Mkuu
Mimi ni Muislam, imani yangu inafundisha kutenda hali wakati wote, hata kama mwanangu wa kumzaa hayupo kwenye haki siwezi kumtetea. Kumbuka hilo.Ajuza unamtetea mwenzao katika Imani huna lolote. Wewe tunajua huwezi kufikili nje ya dini
Wewe Bibi mwezi huu ukilipwa mshahara tarehe 23, mwisho wa mwezi ujao ni terehe 23 sio tarehe 30 au 31.Kama hamkubaliani na Reforms na Rebuilding mfateni alipo, mnangoja nini?
Awamu hii ishasema mwisho wa mwezi uwe mwisho wa mwezi kweli. Ni nini msichoelewa hapo? Mshahara ni mwisho wa mwezi siyo kati ya mwezi.
Tarehe 28, 29, 30 au 31. Tazama kalenbda hata ya kwenye simu yako, itakupa ratiba ya kila mwezi unaanza lini na kuishia lini.wewe bibi kweli una mashetani, mwisho wa mwezi kwa mtumishi wa serikali anayelipwa kila tarehe 22 ni upi
Kama unadhani JPM ni mbwa basi wewe mwenyewe ni mbwakoko kabisa; ndiyo maana unaandika kwa lugha za kimbwakoko namna hii.Hata watumishi wasipolipwa mishahara milele hawawezi kumkumbuka huyo mbwa...
😂😂😂😂😂 mambo yasiwe mengi
Punguza kula kitimoto na bia kwa siriKama hamkubaliani na Reforms na Rebuilding mfateni alipo, mnangoja nini?
Awamu hii ishasema mwisho wa mwezi uwe mwisho wa mwezi kweli. Ni nini msichoelewa hapo? Mshahara ni mwisho wa mwezi siyo kati ya mwezi.