Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

Huo mwisho wa mwezi wa kujazwa ujinga.

Mwisho wa mwezi ni mwishoi wa mwezi kama ilivyo kwenye kalenda na inavyojulikana dunia nzima.

Halafu utakuta wewe ni mwalimu unaeendelea kuwajaza ujinga watoto wa kimasikini.
Huyo bibi Faiza haelewi ana kichwa kigumu, mfano mzuri mwisho wa mwaka wa hesabu za serikali ni tar 30 June na siyo tarehe 31 december, Mfundisheni kwamba mwisho wa mwezi kwa mtumishi wa serikali ni tar 21 au 22, ili kuujaza mwezi kamili.
 
Wewe sema una madeni ya grocery tu, ilishatangazwa siku nyingi kuwa mwisho wa mwezi uwe mwisho wa mwezi kweli, siyo kudanganyana.
Iwe hivyo haina tofauti. Ukinilipa tarehe 22 nategemea tarehe 22 nyingine unilipe.

Basi mwezi huu wakilipa tarehe 30 ujao iwe hivyo hivyo.

Government need to have consistency. Sio kama nyumba ya mzee lomolomo.
 
Watumishi wa serikali 90% ni vilaza ndio maana serikali inawabinua inavotaka kama unga wa ngano.
 
Kwa Kukusahihisha Hapo Mama Hausiki Kwa Lolote Zaidi Ni Taratibu Za Kihasibu Kufunga/Kufungua Mwaka Mpya Wa Serikali
Tulia Unachostahiri Kupata Utapewa Tu Zaidi Uwe Mvumilivu Sana

Binafsi Sioni Tatizo Zaidi Taratibu
 
Poleni kwa majukumu wakuu!!

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada..

Leo ni tar24 lakini mpaka sasa (17:58 hrs) mishahara ya watumishi wa serikali haijatoka. Hali hii sio ya kawaida na inatupa hofu kidogo juu ya serikali yetu pendwa chini ya mama Samia, hivyo sisi tusio na access na taarifa za habari tunaomba kufahamishwa kama kuna taarifa yoyote juu ya hili, maana unaweza ukapuuzia kumbe kuna tangazo la kupokea mishahara dirishani (cash in hand) limetolewa na hujalipata.

NB: Hadi sasa watumishi tumetumika mwezi Mzima bila kulipa, from May 24 to June 23..

Asalam Alaikum..
Hela yako umehifadhiwa utaipata ila ulonayo itumie vizur tarehe 28 ni mbal mbali ukiwa huna hela
 
Hizo ni tarehe mlizozowea kulipwa lakini siyo mwisho wa mwezi. Mkajijaza ujinga kuwa huo ndiyo mwisho wa mwezi.

Unazidi kunihakikishia kuwa shuleni ulienda kusomea ujinga.
Kuna watoto Wana hasara yaani ww ndo mama Yao... Stupid kabisa
 
Wewe sema una madeni ya grocery tu, ilishatangazwa siku nyingi kuwa mwisho wa mwezi uwe mwisho wa mwezi kweli, siyo kudanganyana.
Ni kweli nadaiwa grocery na niliahidi tarehe 22.

Ni kosa kudaiwa grocery?
 
Tulieni kwanza akakope, mna haraka ya nini?
Tayari. Juzi tu ✅️✅️✅️👏👏👏

IMG-20240621-WA0131.jpg
 
Hizo ni tarehe mlizozowea kulipwa lakini siyo mwisho wa mwezi. Mkajijaza ujinga kuwa huo ndiyo mwisho wa mwezi.

Unazidi kunihakikishia kuwa shuleni ulienda kusomea ujinga.
Mtoto wako aliyezaliwa march 22 anajaza mwaka/birthday yake ni lini?
 
Back
Top Bottom