Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hizo ni siri za Kambi, huwezi kuzipata UraianiHao jamaa sijui kwa nini hawabadiliki miaka na miaka mimi nilitegemea miaka 60 ya uhuru watuoneshe namna watakavyozibiti shambulizi la drone za kusafirisha mabomu kama zile zilizokuwa zikitunguliwa na Israel kutokea Iran.