Kigorohe
Senior Member
- May 21, 2019
- 160
- 255
Habari za mida wakuu.
Japo nipewa ushauri wa kuendelea na masomo ili nimalize semester moja iliyobaki lakini kusema kweli roho yangu bado haitaki kwenda kusoma make nimenogewa kwenye ujasiria mali japo sijaanza kuingiza pesa ndefu sana. Lakini natambua ipo siku nitaingiza kiasi kikubwa sana
Na hata baada ya Mhe. Rais kutoa kauli kuwa vyuo vitafunguliwa juni 1, 2020 nilipambana ndani ya wiki moja nikawa nimepata 76,500 kama nauli ya kunirudisha chuoni huko kanda ya kaskazini jana akatokea jamaa mmoja anauza mbuzi 4 kwa Tsh. 60000 nikaamua kujitungua hivyo nikatumia nauli kununua mbuzi.
Mimi rohoni mwangu saivi nafurahi sana nitakapo kuwa mfugaji mkubwa sana na nimeanza kwa mifugo tofauti tofauti kama nguruwe 2, mbuzi 4, na kuku chotara mitetea 5 na jogooo 1.
Kusoma ni utumwa. Overa
Japo nipewa ushauri wa kuendelea na masomo ili nimalize semester moja iliyobaki lakini kusema kweli roho yangu bado haitaki kwenda kusoma make nimenogewa kwenye ujasiria mali japo sijaanza kuingiza pesa ndefu sana. Lakini natambua ipo siku nitaingiza kiasi kikubwa sana
Na hata baada ya Mhe. Rais kutoa kauli kuwa vyuo vitafunguliwa juni 1, 2020 nilipambana ndani ya wiki moja nikawa nimepata 76,500 kama nauli ya kunirudisha chuoni huko kanda ya kaskazini jana akatokea jamaa mmoja anauza mbuzi 4 kwa Tsh. 60000 nikaamua kujitungua hivyo nikatumia nauli kununua mbuzi.
Mimi rohoni mwangu saivi nafurahi sana nitakapo kuwa mfugaji mkubwa sana na nimeanza kwa mifugo tofauti tofauti kama nguruwe 2, mbuzi 4, na kuku chotara mitetea 5 na jogooo 1.
Kusoma ni utumwa. Overa