Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Mkopo ninao, biashara nilikuwa nafanya japo ni ndogo ndogo hata pindi nipo chuoni ila hii ya kipindi hichi cha Corona kidogo ndo naona inaleta matunda kwani naendelea kuanzisha vitega uchumi vingine
Kama una boom endelea kusaini ulikwapue, semista ya mwisho saini kwapua boom kisha amua kimalizia Chuo au kula winga... hata ukipata hicho cheti kitakugharimu kutembeza bahasha tu.