Nimedhulumiwa MilionI 10, siku ya Tano sasa sijapata Usingizi

Hana pesa uyo mkuu, hela imeisha hiyo tena anaweza kuwa karudi bongo tayari..pole sana
 
Aisee huyo ni kenge kama Ontario tu
 
Na mbaya zaidi sidhani kama uchawi unavuka anga la nchi zaidi ya 2....

Huyo ungefungua jalada polisi then interpool wadili naye....
 
Huyo jamaa ni stupid age ya 30 unaenda south africa. Si bora angenunua ubber akawa KILA mwezi anakupunguzia.
 
Brothe me mwaka wa Tatu huu nimedhulumiwa gari na alienidhulum yupo mjini na nakutana nae Sana na haki yangu nilisema sina cha kumfanya Ila namuombea Dua mbaya Kila Siku Sasa Hivi anamadeni mpaka kichwani
 
Huyo ni wa RADI. Nenda Kigoma au Sumbawanga kwa 500k bila hata manyunyu wanamalizana tu
 
Pole sana mkuu,ubinadamu kazi sana!
 
Mkuu nimeokoka mbona, huu utambulisho ni ukumbusho tu kwamba bwana yule yupo!
shida ni kuwa imekuwa kama umemkubali na unamtukuza! Dunia ya leo inamtaja zaidi antiChrist kuliko Christ mwenyewe. Hili ni tatizo.


JESUS IS LORD
 
watu wengine bana,yaani 10m ndio hela ya kukimbia kweli?! Halafu usiamini mtu kabisa hata kama ni baba yako
 
Mpuuzi tuu, sasa million 20 ndio ya kuvunja urafiki. Itaisha sasa hivi, uso wake atauwrka wapi?
 
Pole sana! Next time hakikisha kila unalolofanya ata na Baba ako au mama mzazi,rafiki na ata mke kuwepo na mikataba ya kisheria kukulinda! Mdogo angu alikuwa anatabia ya kuttust friends na ndugu alikuwa anakula za uso tena kubwa tu kushinda wewe ya hii 10 M jipe Moyo Dogo alipambanaga now yupo sawa na akuna anaemdhurumu tena na mazurumati wake wote alikuja deal nao na akapata haki zake mfano wake mmoja ni huu! Japo alipigwa tena kama mara 3 hivi ndipo alikuja kaa sawa😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…